Kongwa sirudi tena, kuna vumbi na funza miguuni nimepatia huku

Kongwa sirudi tena, kuna vumbi na funza miguuni nimepatia huku

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Wakuu,

Huku hata iweje sitorudi tena pana funza za hatari, vumbi nikama linazaliwa huku yaani hapaeleweki kamwe naapa sitorudi tena huku hata iweje.

Huku hapafai kuishi maji ni tatizo sugu yaani palifaa watu wasikae kabisa maana pabaya sijawahi kuona.

Huku hapana hapana.
 
Wakuu,

Huku hata iweje sitorudi tena pana funza za hatari, vumbi nikama linazaliwa huku yaani hapaeleweki kamwe naapa sitorudi tena huku hata iweje.

Huku hapafai kuishi maji ni tatizo sugu yaani palifaa watu wasikae kabisa maana pabaya sijawahi kuona.

Huku hapana hapana.
Spika Ndugai, njoo huku uone maendeleo ya Jimbo lako!
 
Back
Top Bottom