Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Nasikia eti alikatwa vidole vyote vya mguu wa kushoto. Ni funza ndiyo sababu au 😂😂😂Ndio maana yule jamaa alitumia mabilioni kutibiwa India kumbe funza walishakula Hadi ubongo......!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia eti alikatwa vidole vyote vya mguu wa kushoto. Ni funza ndiyo sababu au 😂😂😂Ndio maana yule jamaa alitumia mabilioni kutibiwa India kumbe funza walishakula Hadi ubongo......!
Funza hawasababishwi na aina ya udongo, funza huletwa na viroboto.Mkuu kongwa HAKUNA Cha uchafu Kuna mifunza kutokana na udongo wake tifutifu yaani ukifika huko usivue socks au viatu
Usifananishe moshi na sehemu za ajabu ajabuNi kweli kongwa pabaya na pana sifa nyingi mbovu lakini funza wa miguuni ni uchafu wako.
Mimi nimefanya kibarua kongwa miaka miwili sijawahi kua na funza wala magaga
Vumbi la kongwa ni kama la Mbinga vijijini
Vumbi la kongwa lina afadhali kuliko la kasulu
Chumvi kwenye maji ya Kongwa ni afadhali kuliko udom
Mbeya mjini ni Dust City(lile vumbi kongwa inasubiri) na kwa msimu wa mvua ni mud City, tukuyu pekeake ndo Green City.
Hivi lile vumbi la Moshi mjini hulijui? Lile vumbi ukikanyaga chini linaruka linafunika kiatu chote, ile ni poda kabisa
Ukiwa mchafu, hata ukiishi Mwanza (Mwanza ni Pasafi) funza utawapata tuu.
Kongwa hii hii ya SPIKA WA BUNGE?Wakuu,
Huku hata iweje sitorudi tena pana funza za hatari, vumbi nikama linazaliwa huku yaani hapaeleweki kamwe naapa sitorudi tena huku hata iweje.
Huku hapafai kuishi maji ni tatizo sugu yaani palifaa watu wasikae kabisa maana pabaya sijawahi kuona.
Huku hapana hapana.
Na viroboto hupenda huishi kwenye vumbiFunza hawasababishwi na aina ya udongo, funza huletwa na viroboto.
Wazee pub au wapi? 😀 Ingekuwa ijumaa jioni ingependeza sana rafiki.Karibu Area D hapa... najua upo jirani
Jirani na hill park kwa nyuma hapaWazee pub au wapi? [emoji3] Ingekuwa ijumaa jioni ingependeza sana rafiki.
Arusha pia kuna vumbi...mwezi wa 8-10 maeneo ya KIA vumbi hadi huoni gari ya mbele yako...mleta mada alitaka tujue alienda Kongwa....nikikaa Handeni,pia Kabuku, kipindi cha upepo vumbi ni jingi, huyu mleta mada ana lake jambo, Shinyanga na Singida nako huwa na vumbi balaa...Ni kweli kongwa pabaya na pana sifa nyingi mbovu lakini funza wa miguuni ni uchafu wako.
Mimi nimefanya kibarua kongwa miaka miwili sijawahi kua na funza wala magaga
Vumbi la kongwa ni kama la Mbinga vijijini
Vumbi la kongwa lina afadhali kuliko la kasulu
Chumvi kwenye maji ya Kongwa ni afadhali kuliko udom
Mbeya mjini ni Dust City(lile vumbi kongwa inasubiri) na kwa msimu wa mvua ni mud City, tukuyu pekeake ndo Green City.
Hivi lile vumbi la Moshi mjini hulijui? Lile vumbi ukikanyaga chini linaruka linafunika kiatu chote, ile ni poda kabisa
Ukiwa mchafu, hata ukiishi Mwanza (Mwanza ni Pasafi) funza utawapata tuu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio maana yule jamaa alitumia mabilioni kutibiwa India kumbe funza walishakula Hadi ubongo......!
Haya, siku nyingine uniite mapema, si wajua sie wengine jumapili ni kwa ajili ya familia?Jirani na hill park kwa nyuma hapa
Ndio maana tuna bunge la hovyo, dhaifuWakuu,
Huku hata iweje sitorudi tena pana funza za hatari, vumbi nikama linazaliwa huku yaani hapaeleweki kamwe naapa sitorudi tena huku hata iweje.
Huku hapafai kuishi maji ni tatizo sugu yaani palifaa watu wasikae kabisa maana pabaya sijawahi kuona.
Huku hapana hapana.
SawaHaya, siku nyingine uniite mapema, si wajua sie wengine jumapili ni kwa ajili ya familia?
Hakawii kukupiga gongoSpika Ndugai, njoo huku uone maendeleo ya Jimbo lako!
Maji ya kuoga tu hamna..hao warembo watatoka wapi?Kuna warembo au na warembo hakuna?
Asante kwa hii referenceArusha pia kuna vumbi...mwezi wa 8-10 maeneo ya KIA vumbi hadi huoni gari ya mbele yako...mleta mada alitaka tujue alienda Kongwa....nikikaa Handeni,pia Kabuku, kipindi cha upepo vumbi ni jingi, huyu mleta mada ana lake jambo, Shinyanga na Singida nako huwa na vumbi balaa...
Wakafanye Farmigation huko kwa ndugu yaiWa
Wakupeleka fumigation nani mkuu?