Kongwa sirudi tena, kuna vumbi na funza miguuni nimepatia huku

Kongwa sirudi tena, kuna vumbi na funza miguuni nimepatia huku

Ndio maana yule jamaa alitumia mabilioni kutibiwa India kumbe funza walishakula Hadi ubongo......!
Nasikia eti alikatwa vidole vyote vya mguu wa kushoto. Ni funza ndiyo sababu au 😂😂😂
 
Ni kweli kongwa pabaya na pana sifa nyingi mbovu lakini funza wa miguuni ni uchafu wako.

Mimi nimefanya kibarua kongwa miaka miwili sijawahi kua na funza wala magaga

Vumbi la kongwa ni kama la Mbinga vijijini
Vumbi la kongwa lina afadhali kuliko la kasulu
Chumvi kwenye maji ya Kongwa ni afadhali kuliko udom
Mbeya mjini ni Dust City(lile vumbi kongwa inasubiri) na kwa msimu wa mvua ni mud City, tukuyu pekeake ndo Green City.
Hivi lile vumbi la Moshi mjini hulijui? Lile vumbi ukikanyaga chini linaruka linafunika kiatu chote, ile ni poda kabisa

Ukiwa mchafu, hata ukiishi Mwanza (Mwanza ni Pasafi) funza utawapata tuu.
Usifananishe moshi na sehemu za ajabu ajabu
 
Wakuu,

Huku hata iweje sitorudi tena pana funza za hatari, vumbi nikama linazaliwa huku yaani hapaeleweki kamwe naapa sitorudi tena huku hata iweje.

Huku hapafai kuishi maji ni tatizo sugu yaani palifaa watu wasikae kabisa maana pabaya sijawahi kuona.

Huku hapana hapana.
Kongwa hii hii ya SPIKA WA BUNGE?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Kuna mgogo yoyote hapa karibu atuwekee angalau picha ya miguu tuone funza wanavyofanana, au kama kuna muha kutoka kasulu hapa naye anaweza kutusaidia.........tunaposema serikali ipeleke makao makuu Singida muwe mnaelewa, ona sasa hadi funza!
 
Ni kweli kongwa pabaya na pana sifa nyingi mbovu lakini funza wa miguuni ni uchafu wako.

Mimi nimefanya kibarua kongwa miaka miwili sijawahi kua na funza wala magaga

Vumbi la kongwa ni kama la Mbinga vijijini
Vumbi la kongwa lina afadhali kuliko la kasulu
Chumvi kwenye maji ya Kongwa ni afadhali kuliko udom
Mbeya mjini ni Dust City(lile vumbi kongwa inasubiri) na kwa msimu wa mvua ni mud City, tukuyu pekeake ndo Green City.
Hivi lile vumbi la Moshi mjini hulijui? Lile vumbi ukikanyaga chini linaruka linafunika kiatu chote, ile ni poda kabisa

Ukiwa mchafu, hata ukiishi Mwanza (Mwanza ni Pasafi) funza utawapata tuu.
Arusha pia kuna vumbi...mwezi wa 8-10 maeneo ya KIA vumbi hadi huoni gari ya mbele yako...mleta mada alitaka tujue alienda Kongwa....nikikaa Handeni,pia Kabuku, kipindi cha upepo vumbi ni jingi, huyu mleta mada ana lake jambo, Shinyanga na Singida nako huwa na vumbi balaa...
 
Wakuu,

Huku hata iweje sitorudi tena pana funza za hatari, vumbi nikama linazaliwa huku yaani hapaeleweki kamwe naapa sitorudi tena huku hata iweje.

Huku hapafai kuishi maji ni tatizo sugu yaani palifaa watu wasikae kabisa maana pabaya sijawahi kuona.

Huku hapana hapana.
Ndio maana tuna bunge la hovyo, dhaifu
 
Arusha pia kuna vumbi...mwezi wa 8-10 maeneo ya KIA vumbi hadi huoni gari ya mbele yako...mleta mada alitaka tujue alienda Kongwa....nikikaa Handeni,pia Kabuku, kipindi cha upepo vumbi ni jingi, huyu mleta mada ana lake jambo, Shinyanga na Singida nako huwa na vumbi balaa...
Asante kwa hii reference
 
Hii ni shida kweli badala ya kuona Fursa unaona funza ... Ungerudi na ngombe 100 ungeitendea haki Kongwa haa haa
 
Back
Top Bottom