The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Na wapinzani si walituchelewesha sana?
Kongwa kama Sobibo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wapinzani si walituchelewesha sana?
Usifananishe sobibo na mambo ya kijinga! 😀 Ile oksijen kongwa haipo, hata Dodoma tu haipo.Kongwa kama Sobibo
Usifananishe sobibo na mambo ya kijinga! 😀 Ile oksijen kongwa haipo, hata Dodoma tu haipo.
Heri ya jumapili.
Weeeeee! ngoja nitulie nikupigie wallah uniambie vizuri.Sobibo kama Sobibo...mwendo wa zile bidhaa za kunesanesa kujaza kwa upepo ulihusika.
Jumapili njema pia
Fungua pm hiyoWeeeeee! ngoja nitulie nikupigie wallah uniambie vizuri.
Hayaaaaa.Fungua pm hiyo
Ila wewe umetudhalilisha sana sio sisi wakazi wa Kongwa tu, bali pia na viongozi wetu. Kwani hujui wengi wetu tumekatwa vidole kwa sababu ya hao funza? Badala ya kutuhurumia ndo kwanza unatuponda.Wakuu,
Huku hata iweje sitorudi tena pana funza za hatari, vumbi nikama linazaliwa huku yaani hapaeleweki kamwe naapa sitorudi tena huku hata iweje.
Huku hapafai kuishi maji ni tatizo sugu yaani palifaa watu wasikae kabisa maana pabaya sijawahi kuona.
Huku hapana hapana.