COMOTANG
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 2,131
- 1,821
hahahaha mkuu kongwa ya wapi hiyo mkuu pole Sana!Wakuu,
Huku hata iweje sitorudi tena pana funza za hatari, vumbi nikama linazaliwa huku yaani hapaeleweki kamwe naapa sitorudi tena huku hata iweje.
Huku hapafai kuishi maji ni tatizo sugu yaani palifaa watu wasikae kabisa maana pabaya sijawahi kuona.
Huku hapana hapana.
Je Ni zoisa,makawa,mageseni,songambele,au? Yaani huko hutakiwi kuvua viatu mchana na soksi usiku.