Kongwa sirudi tena, kuna vumbi na funza miguuni nimepatia huku

Kongwa sirudi tena, kuna vumbi na funza miguuni nimepatia huku

Ni kweli kongwa pabaya na pana sifa nyingi mbovu lakini funza wa miguuni ni uchafu wako.

Mimi nimefanya kibarua kongwa miaka miwili sijawahi kua na funza wala magaga

Vumbi la kongwa ni kama la Mbinga vijijini
Vumbi la kongwa lina afadhali kuliko la kasulu
Chumvi kwenye maji ya Kongwa ni afadhali kuliko udom
Mbeya mjini ni Dust City(lile vumbi kongwa inasubiri) na kwa msimu wa mvua ni mud City, tukuyu pekeake ndo Green City.
Hivi lile vumbi la Moshi mjini hulijui? Lile vumbi ukikanyaga chini linaruka linafunika kiatu chote, ile ni poda kabisa

Ukiwa mchafu, hata ukiishi Mwanza (Mwanza ni Pasafi) funza utawapata tuu.
 
Ndio maana SSH hakai sana huko katikati. ...Weka kapicha mwana. 😇
 
Nachojua hao funza ni mali ya ndugai ila kwa upande wa vumbi ndio sijamjua mmiliki
 
Wakuu,

Huku hata iweje sitorudi tena pana funza za hatari, vumbi nikama linazaliwa huku yaani hapaeleweki kamwe naapa sitorudi tena huku hata iweje.

Huku hapafai kuishi maji ni tatizo sugu yaani palifaa watu wasikae kabisa maana pabaya sijawahi kuona.

Huku hapana hapana.
Zimewaharibu hadi akili akina fulani
 
Wakuu,

Huku hata iweje sitorudi tena pana funza za hatari, vumbi nikama linazaliwa huku yaani hapaeleweki kamwe naapa sitorudi tena huku hata iweje.

Huku hapafai kuishi maji ni tatizo sugu yaani palifaa watu wasikae kabisa maana pabaya sijawahi kuona.

Huku hapana hapana.

Hongereni kwa hayo mafunzo ya funza, uje na mafundisho ya hayo mafunza.
 
.
20210821_191756.jpg
 
ww bado hujatembea vizuri, ebu utembelee baadhi ya maeneo ya mkoa wa kigoma.... utapaona bora ya kongwa[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ni kweli kongwa pabaya na pana sifa nyingi mbovu lakini funza wa miguuni ni uchafu wako.

Mimi nimefanya kibarua kongwa miaka miwili sijawahi kua na funza wala magaga

Vumbi la kongwa ni kama la Mbinga vijijini
Vumbi la kongwa lina afadhali kuliko la kasulu
Chumvi kwenye maji ya Kongwa ni afadhali kuliko udom Mbeya mjini ni Dust City na kwa msimu wa mvua ni mud City, tukuyu pekeake ndo Green City.
Hivi lile vumbi la Moshi mjini hulijui? Lile vumbi ukikanyaga chini linaruka linafunika kiatu chote, ile ni poda kabisa

Ukiwa mchafu, hata ukiishi Mwanza (Mwanza ni Pasafi) funza utawapata tuu.
Noma
 
Nikiondoka huku sirudi tena pabaya sana
Una uongo mwingi sana... Sijui upo kongwa ipi? Wengine Dodoma tuna itembea kila kona Kongwa ni moja wapo, na Ndugai ana pambana nayo haswa, week iliyopita alikuwa hapoakifanya vikao na watendaji wa halmashauri...

Kuna huduma za kulizisha kuna miradi mbalimbali inayo endelea, upanuzi wa hospital ya wilaya etc

Kongwa ipi ulikuwepo yenye funza? Weka na picha... Labda kama umetoka kibondo na kasulu...
 
Mtoa maada akumbushwe kwamba Dodoma yote ipo hivyo..., jaribu kwenda Mpwapwa huko utashangaa
Sio Dodoma yote hacha upotoshaji... Kingekuwa kilio cha mkoa, kama watu wa kibondo na kasulu wanavyo sumbuliwa na funza na lipo wazi...

Hii imepelekea aibu hasa kwa waha kujitambulisha wao ni wa kasulu zaidi kuliko kibondo ambayo ina shida ya funza...
 
Back
Top Bottom