Akikujibu nitag mkuu😏😏Kuna warembo au na warembo hakuna?
Spika Ndugai, njoo huku uone maendeleo ya Jimbo lako!Wakuu,
Huku hata iweje sitorudi tena pana funza za hatari, vumbi nikama linazaliwa huku yaani hapaeleweki kamwe naapa sitorudi tena huku hata iweje.
Huku hapafai kuishi maji ni tatizo sugu yaani palifaa watu wasikae kabisa maana pabaya sijawahi kuona.
Huku hapana hapana.
Una maanisha Lameki madelu!??Mwambie Mwigulu Nchemba