Kongwa sirudi tena, kuna vumbi na funza miguuni nimepatia huku

hahahaha mkuu kongwa ya wapi hiyo mkuu pole Sana!
Je Ni zoisa,makawa,mageseni,songambele,au? Yaani huko hutakiwi kuvua viatu mchana na soksi usiku.
 
Mkuu
Mtoa maada akumbushwe kwamba Dodoma yote ipo hivyo..., jaribu kwenda Mpwapwa huko utashangaa
Mpwapwa kuna shida ya maji sanaaa lakini HAKUNA finza.Ila sehemu zote hizo barabara ni shidaaaaa yaani Ni Kama hakuna viongozi kabisaaaaaaaa
 
Mpwapwa HAKUNA funza Mkuu. Funza wapo kongwa kaskazin Ni nouma yaani ukifika usiku kesho asubuhi tayari miguu inawasha funza washa kuingia!!
Mimi nazungumzia vumbi..pako hovyo mnoo.
 
Kongwa hapana tusidanganyane dom ni pabovu generally!!! Utatumia nguvu nyingi bure kijitetea
 
Jifunze kusoma kwa kuelewa, sio kusoma ili ujibu. Maana usipoelewa ndo unajibu uwele kama huu. Soma tena kuanzia mwanzo.

Nasisitiza, uchafu ni sumu, ukiwa mchafu hata uishi ulaya utapata funza tuu.
Mkuu kongwa HAKUNA Cha uchafu Kuna mifunza kutokana na udongo wake tifutifu yaani ukifika huko usivue socks au viatu
 
Duuh Tanzania yapo maeneo funza ni tatizo kazi tunayo kwa kweli...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…