hahahaha mkuu kongwa ya wapi hiyo mkuu pole Sana!Wakuu,
Huku hata iweje sitorudi tena pana funza za hatari, vumbi nikama linazaliwa huku yaani hapaeleweki kamwe naapa sitorudi tena huku hata iweje.
Huku hapafai kuishi maji ni tatizo sugu yaani palifaa watu wasikae kabisa maana pabaya sijawahi kuona.
Huku hapana hapana.
Mpwapwa HAKUNA funza Mkuu. Funza wapo kongwa kaskazin Ni nouma yaani ukifika usiku kesho asubuhi tayari miguu inawasha funza washa kuingia!!Mpwapwa ndo balaa aiseee,
Mpwapwa kuna shida ya maji sanaaa lakini HAKUNA finza.Ila sehemu zote hizo barabara ni shidaaaaa yaani Ni Kama hakuna viongozi kabisaaaaaaaaMtoa maada akumbushwe kwamba Dodoma yote ipo hivyo..., jaribu kwenda Mpwapwa huko utashangaa
Mkuu ulienda fanya Nini huko?Nikiondoka huku sirudi tena pabaya sana
Uwiiii Ni Cha woteeee Hawa bagui Wala kuchaguaKuna warembo au na warembo hakuna?
Ila wazuri au siyo ishu?U
Uwiiii Ni Cha woteeee Hawa bagui Wala kuchagua
Sasa si wapeleke farnigation kuua funzaMtoa maada akumbushwe kwamba Dodoma yote ipo hivyo..., jaribu kwenda Mpwapwa huko utashangaa
Mimi nazungumzia vumbi..pako hovyo mnoo.Mpwapwa HAKUNA funza Mkuu. Funza wapo kongwa kaskazin Ni nouma yaani ukifika usiku kesho asubuhi tayari miguu inawasha funza washa kuingia!!
Ndugai anahangaika na Jimbo la Lissu kumbe kwao hata maji hakuna.Spika Ndugai, njoo huku uone maendeleo ya Jimbo lako!
HAKUNA uzuri kwenye uchafu mkuuIla wazuri au siyo ishu?
Kongwa hapana tusidanganyane dom ni pabovu generally!!! Utatumia nguvu nyingi bure kijiteteaNi kweli kongwa pabaya na pana sifa nyingi mbovu lakini funza wa miguuni ni uchafu wako.
Mimi nimefanya kibarua kongwa miaka miwili sijawahi kua na funza wala magaga
Vumbi la kongwa ni kama la Mbinga vijijini
Vumbi la kongwa lina afadhali kuliko la kasulu
Chumvi kwenye maji ya Kongwa ni afadhali kuliko udom
Mbeya mjini ni Dust City(lile vumbi kongwa inasubiri) na kwa msimu wa mvua ni mud City, tukuyu pekeake ndo Green City.
Hivi lile vumbi la Moshi mjini hulijui? Lile vumbi ukikanyaga chini linaruka linafunika kiatu chote, ile ni poda kabisa
Ukiwa mchafu, hata ukiishi Mwanza (Mwanza ni Pasafi) funza utawapata tuu.
Kongwa hi mazalia ya ccmKongwa wamejaa wakaguru wagogo siyo wagogo
Karibu Area D hapa... najua upo jiraniNa wapinzani si walituchelewesha sana?
Wakupeleka fumigation nani mkuu?Sasa si wapeleke farnigation kuua funza
Mkuu kongwa HAKUNA Cha uchafu Kuna mifunza kutokana na udongo wake tifutifu yaani ukifika huko usivue socks au viatuJifunze kusoma kwa kuelewa, sio kusoma ili ujibu. Maana usipoelewa ndo unajibu uwele kama huu. Soma tena kuanzia mwanzo.
Nasisitiza, uchafu ni sumu, ukiwa mchafu hata uishi ulaya utapata funza tuu.