Kongwa sirudi tena, kuna vumbi na funza miguuni nimepatia huku

Ila wewe umetudhalilisha sana sio sisi wakazi wa Kongwa tu, bali pia na viongozi wetu. Kwani hujui wengi wetu tumekatwa vidole kwa sababu ya hao funza? Badala ya kutuhurumia ndo kwanza unatuponda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…