Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
Moja ya inch Bora kabsa kichwani haswaa kwenye sayansi na hesabu ni south Korea.
.
Sadly ni kwamba wanaziliana kwa kiwango kidogo sana hii inapelekea kukosa watu bora kwenye gunduzi mbalimbali hasa za kisayansi
Science mathematics na innovations ziko kwenye risky sana kupoteza hawa jamaa.
Kama south Korea itaendelea kuzaliana kwa 0.7 kwa kila mwanamke 2050 population of south Korea will half.
Halafu baada ya miaka 500 wote watapotea duniani.
Actually am . So worried about future generations
.
Unfortunately Tanzania na Africa tunazaliana kwa wingi sana lakini hakuna dalili ya kufanya mambo ya maana
Leo tupo Tanzania wadada wasomi ndo hao wanatingisha makalio tiktok.
Vijana wa kiume ndo hao wanakimbazana na makalio ya wadada ,kamari, kubet Simba na yanga n.k.
.
Sadly ni kwamba wanaziliana kwa kiwango kidogo sana hii inapelekea kukosa watu bora kwenye gunduzi mbalimbali hasa za kisayansi
Science mathematics na innovations ziko kwenye risky sana kupoteza hawa jamaa.
Kama south Korea itaendelea kuzaliana kwa 0.7 kwa kila mwanamke 2050 population of south Korea will half.
Halafu baada ya miaka 500 wote watapotea duniani.
Actually am . So worried about future generations
.
Unfortunately Tanzania na Africa tunazaliana kwa wingi sana lakini hakuna dalili ya kufanya mambo ya maana
Leo tupo Tanzania wadada wasomi ndo hao wanatingisha makalio tiktok.
Vijana wa kiume ndo hao wanakimbazana na makalio ya wadada ,kamari, kubet Simba na yanga n.k.