Korea yaikopesha Tanzania Shilingi Bilioni 400 za kujenga Hospitali ya Rufaa Zanzibar

Haya kuna thread yenu kule kujenga tawi la chuo kikuu cha dar es salaam chato watu kelelee nyingiii huku napo kelele za nini?

Mi nishasema sisi hatujui hadi sasa nini tunahitaji na itakuwa ndiyo hivi hivi hadi mwisho.
 
Na Korea inawajengea AICC au JNICC yao....mikutano yote mikubwa ya kimataifa itakuwa inafanyika Zanzibar...
Na Wakorea wanajenga bandari kubwa ya mafuta, gesi, uvuvi na makontena.... Zanzibar itakuwa kituo kikubwa cha utalii na usafirishaji wa baharini.
 
Naomba kueleweshwa kwa anaeelewa.

Hivi mambo ya afya ni jambo la muungano au sio.
 
Huyu Abdul anaikopea Zanzibar ili Tanganyika tulipe deni lao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…