Citizen_37
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 957
- 1,124
Hapana!!Je afya ni swala la muungano?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana!!Je afya ni swala la muungano?
Ohooooo!!!Ni zamu yetu nyie wagalatia mtajiju
Kunapokuwa na maslahi yenu ndiyo mnakumbuka kuwa hii ni nchi mojaKwan nn maana ya Tanzania ?
Kwani bajeti ya Zanzibar kwa mwaka ni kiasi gani?Yaani Zanzibar wanashindwa kujenga hospital ya bilioni 400 mpaka wapate mkopo ?
Na mpo hapa kusifia bila aibu!
Hapana.Kwani huduma za afya ni mambo ya Kimuungano?
Duh,Yaani tunakopa Tanzania Bara halafu Hospitali inaenda kujengwa Zanzibar?
Deni tunakuja kulipa Tanzania Bara 🙆
It's unfair aisee 🙌
Yah right. Lakini Afya siyo swala la Muungano.Zanzibar ni sehemu ya serikali ya muungano....
Basi, Tanzania iwe na serikali moja ili kila wizara iwe moja tuKwan nn maana ya Tanzania ?
Kwa sasa wao Znz wameshika mpini, maana wanamiliki serikali zote mbiliWao hawajali kwa kuwa huo Mkopo unalipwa na utalipwa na Watanganyika ....!!
Imagine Afya si swala la Muungano ... sijui inakuwaje serikali ya Muungano inakopa kwenda kujenga Hospital Zanzibar. Kweli Wajinga ndiyo waliwao.
Tatizo ni akili za kikoloni za ccmTatizo ni watanganyika wenyewe kuikataa Tanganyika yao.
Noma hiiYaani Zanzibar wanashindwa kujenga hospital ya bilioni 400 mpaka wapate mkopo ?
Na mpo hapa kusifia bila aibu!
Fact bigupNi mpaka pale Tanganyika itakapoacha kujivika koti la Tanzania na kuchukua koti lake la utanganyika.Vinginevyo cha Tanzania ni cha wote Tangnyika na Zanzibar .Tatizo ni watanganyika wenyewe kuikataa Tanganyika yao.
Ila wanafanya ujenzi wote huo kwa mikopo itakayolipwa na Tanganyika pekeeNa Korea inawajengea AICC au JNICC yao....mikutano yote mikubwa ya kimataifa itakuwa inafanyika Zanzibar...
Na Wakorea wanajenga bandari kubwa ya mafuta, gesi, uvuvi na makontena.... Zanzibar itakuwa kituo kikubwa cha utalii na usafirishaji wa baharini.
Vyanzo vya mapato vya sm ni vipi, maana mambo ya nje ni muungano so mikopo ni mambo ya nje...Yah right. Lakini Afya siyo swala la Muungano.
Afya SIYO suala la Muungano..Naomba kueleweshwa kwa anaeelewa.
Hivi mambo ya afya ni jambo la muungano au sio.
Afya SIYO suala la Muungano..
View: https://x.com/mohznz1/status/1797529012115570915?t=PUNK6qAek2suyFuE8vuI-g&s=19
Hiyo ndiyo point. Muungano umekaa vibaya. Pia inayokopa siyo Wizara ya nje na wala mkopo haupitii hiyo Wizara. Sijui ni kwa nini Mzee wa TRAT and TRA aliachwa kwenye hili deal. Inawezekana ikawa ndiyo mwanzo wa mwisho wake Serikalini. Nguvu ya January ni kubwa mno.Vyanzo vya mapato vya sm ni vipi, maana mambo ya nje ni muungano so mikopo ni mambo ya nje...
Huu muungano umekaa vibaya
Bajeti yao ni around Trilion 2 na nukta.Kwani bajeti ya Zanzibar kwa mwaka ni kiasi gani?
Mazuzu wako humu kusifia vitu vya aibu kabisa.Noma hii