chidy said
Member
- Oct 20, 2019
- 64
- 123
Sasa nyinyi mkikopa mbona hamkopi kwa jina la Tanganyika mnakopa kwa jina la Tanzania katika wizara zisokuwa za muungano?Wao hawajali kwa kuwa huo Mkopo unalipwa na utalipwa na Watanganyika ....!!
Imagine Afya si swala la Muungano ... sijui inakuwaje serikali ya Muungano inakopa kwenda kujenga Hospital Zanzibar. Kweli Wajinga ndiyo waliwao.