Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Kwahiyo Mkopo unaenda kulipwa na Zanzibar ambayo Bajeti yake tu ya Nchi ni 2Trillioni Kwa Mwaka 🙌Alesema mkpo munaenda kulipa nyinyi ni nani? Acheni kukariri story za vibarazani wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Mkopo unaenda kulipwa na Zanzibar ambayo Bajeti yake tu ya Nchi ni 2Trillioni Kwa Mwaka 🙌Alesema mkpo munaenda kulipa nyinyi ni nani? Acheni kukariri story za vibarazani wakuu
Kwahiyo Mkopo unaenda kulipwa na Zanzibar ambayo Bajeti yake tu ya Nchi ni 2Trillioni Kwa Mwaka 🙌
kwani huo mkopo unalipwa kwa mwaka mmoja?
View attachment 3010159
Kwa Bajeti hii unaweza kulipa Deni la Taifa kiasi gani?
Madeni yote tunawalipia huku Bara 🙌
Nimeipenda hii..."Daktari wa Mikopo"Huyu daktari wa mikopo atauza hadi Ikulu halafu apangishwe !
www.zanzibarassembly.go.tz/bajetiweka ushahidi mkuu
Mpaka hapa Lissu bado anajichukulia tu point 3 za mezani ngoja aendelee kuwapa za usoExim Bank ya Korea imeikopesha Serikali ya Tanzania zaidi ya Bilioni 400 Kwa Ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kisasa na Chuo Cha Mafunzo(Mfano wa Muhimbili-Mlonganzila) Zanzibar.
---
Serikali ya Tanzania imepokea mkopo wa Dola za Marekani 163.6 milioni (Sh427.8 bilioni) kutoka Benki ya Exim ya Korea, kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Binguni Zanzibar pamoja na kituo cha mafunzo ya utabibu.
Mkataba wa mkopo huo umesainiwa leo Juni 5, 2024 kati ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Natu Mwamba na Mkurugenzi Mtendaji Mwandamizi wa Benki ya Exim ya Korea, Hwang Kiyeon na kushuhudiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais wa Zanzibar, Fedha na Mipango, Dk Saada Mkuya.
Mkataba huo wa mkopo umetiwa saini wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiendelea na ziara yake ya siku sita nchini Korea.
Chanzo: Mwananchi
My Take
Tunawashukuru watu wa Korea. Mcheza kwao hutunzwa, turudi nyumbani kumenoga.
Pia soma RC Chalamila: Hospitali ya Muhimbili itabomolewa yote na kujengwa upya kwa msaada wa Korea Kusini alipokwenda Rais Samia
Pia someni hapa Tanzania Kushirikiana na Korea Kusini Kujenga Bandari ya Uvuvi Bagamoyo. Itagharimu Bilioni 400
taratibu mutamwelewa tu LisuJe afya ni swala la muungano?
Akili+Elimu! Elimu+Akili! ..... Mkopaji Tanganyika, Mtumiaji Zanzibar, Mlipaji Tanganyika!!!Exim Bank ya Korea imeikopesha Serikali ya Tanzania zaidi ya Bilioni 400 Kwa Ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kisasa na Chuo Cha Mafunzo(Mfano wa Muhimbili-Mlonganzila) Zanzibar.
---
Serikali ya Tanzania imepokea mkopo wa Dola za Marekani 163.6 milioni (Sh427.8 bilioni) kutoka Benki ya Exim ya Korea, kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Binguni Zanzibar pamoja na kituo cha mafunzo ya utabibu.
Mkataba wa mkopo huo umesainiwa leo Juni 5, 2024 kati ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Natu Mwamba na Mkurugenzi Mtendaji Mwandamizi wa Benki ya Exim ya Korea, Hwang Kiyeon na kushuhudiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais wa Zanzibar, Fedha na Mipango, Dk Saada Mkuya.
Mkataba huo wa mkopo umetiwa saini wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiendelea na ziara yake ya siku sita nchini Korea.
Chanzo: Mwananchi
My Take
Tunawashukuru watu wa Korea. Mcheza kwao hutunzwa, turudi nyumbani kumenoga.
Pia soma RC Chalamila: Hospitali ya Muhimbili itabomolewa yote na kujengwa upya kwa msaada wa Korea Kusini alipokwenda Rais Samia
Pia someni hapa Tanzania Kushirikiana na Korea Kusini Kujenga Bandari ya Uvuvi Bagamoyo. Itagharimu Bilioni 400
😂😂😂Hakuna jambo baya kama kuskia eti refa kabeti...☹️
Kwan tanzania Bara imefaidik kwa mangap kutok zanzobar. N mbona inafidik hadi kesho, mbona kipimd waznzbr wanalalamiki muungano mlikua kimya kipind kile ??Kunapokuwa na maslahi yenu ndiyo mnakumbuka kuwa hii ni nchi moja
Mkuu,Kwan bro alieleta muungano ni nani ? Ni nyerere kwa kumfos karume. Na karume alivotaka kujitoa ..... kilichoendelea kinajulikana. Af bro ww muungano nadhan wengi hamuujui upoje hamjui unafany kaz vp. Em tafta mwanang source za kuaminik usome.
Nd maana nawambia hamjui hat mnacho ongea, kiwango unacholipa ww uliepo Mbarali Mbeya Au Kasulu hat aliepo Unguja mjin nae analipa hicho hicho kwa TRA,Wanalipa ZRA not TRA
Imekula kwetu aise! Tumeshikilia kisu upande wa makali.
Pole sanaBila kumpumzisha huyu mama, miaka mitano ijayo itakuwa mibaya sana kwa Tanganyika na Watanganyika.
Yanayofanyika kwa Watanganyika, ndiyo adhabu imfaayo mtu mjinga.
ila watakaolipa ni WATANGANYIKA. hii nchi hii.Exim Bank ya Korea imeikopesha Serikali ya Tanzania zaidi ya Bilioni 400 Kwa Ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kisasa na Chuo Cha Mafunzo(Mfano wa Muhimbili-Mlonganzila) Zanzibar.
---
Serikali ya Tanzania imepokea mkopo wa Dola za Marekani 163.6 milioni (Sh427.8 bilioni) kutoka Benki ya Exim ya Korea, kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Binguni Zanzibar pamoja na kituo cha mafunzo ya utabibu.
Mkataba wa mkopo huo umesainiwa leo Juni 5, 2024 kati ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Natu Mwamba na Mkurugenzi Mtendaji Mwandamizi wa Benki ya Exim ya Korea, Hwang Kiyeon na kushuhudiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais wa Zanzibar, Fedha na Mipango, Dk Saada Mkuya.
Mkataba huo wa mkopo umetiwa saini wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiendelea na ziara yake ya siku sita nchini Korea.
Chanzo: Mwananchi
My Take
Tunawashukuru watu wa Korea. Mcheza kwao hutunzwa, turudi nyumbani kumenoga.
Pia soma RC Chalamila: Hospitali ya Muhimbili itabomolewa yote na kujengwa upya kwa msaada wa Korea Kusini alipokwenda Rais Samia
Pia someni hapa Tanzania Kushirikiana na Korea Kusini Kujenga Bandari ya Uvuvi Bagamoyo. Itagharimu Bilioni 400