Korea yaikopesha Tanzania Shilingi Bilioni 400 za kujenga Hospitali ya Rufaa Zanzibar

Korea yaikopesha Tanzania Shilingi Bilioni 400 za kujenga Hospitali ya Rufaa Zanzibar

Alesema mkpo munaenda kulipa nyinyi ni nani? Acheni kukariri story za vibarazani wakuu
Kwahiyo Mkopo unaenda kulipwa na Zanzibar ambayo Bajeti yake tu ya Nchi ni 2Trillioni Kwa Mwaka 🙌
 
kwani huo mkopo unalipwa kwa mwaka mmoja?
Screenshot_20240606-141728_1.jpg

Kwa Bajeti hii unaweza kulipa Deni la Taifa kiasi gani?

Madeni yote tunawalipia huku Bara 🙌
 
Daaa mama kiz mkazi atatumalizia rasilimali khaaa
 
Exim Bank ya Korea imeikopesha Serikali ya Tanzania zaidi ya Bilioni 400 Kwa Ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kisasa na Chuo Cha Mafunzo(Mfano wa Muhimbili-Mlonganzila) Zanzibar.

---
Serikali ya Tanzania imepokea mkopo wa Dola za Marekani 163.6 milioni (Sh427.8 bilioni) kutoka Benki ya Exim ya Korea, kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Binguni Zanzibar pamoja na kituo cha mafunzo ya utabibu.

Mkataba wa mkopo huo umesainiwa leo Juni 5, 2024 kati ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Natu Mwamba na Mkurugenzi Mtendaji Mwandamizi wa Benki ya Exim ya Korea, Hwang Kiyeon na kushuhudiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais wa Zanzibar, Fedha na Mipango, Dk Saada Mkuya.

Mkataba huo wa mkopo umetiwa saini wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiendelea na ziara yake ya siku sita nchini Korea.

Chanzo: Mwananchi

My Take
Tunawashukuru watu wa Korea. Mcheza kwao hutunzwa, turudi nyumbani kumenoga.

Pia soma RC Chalamila: Hospitali ya Muhimbili itabomolewa yote na kujengwa upya kwa msaada wa Korea Kusini alipokwenda Rais Samia

Pia someni hapa Tanzania Kushirikiana na Korea Kusini Kujenga Bandari ya Uvuvi Bagamoyo. Itagharimu Bilioni 400
Mpaka hapa Lissu bado anajichukulia tu point 3 za mezani ngoja aendelee kuwapa za uso
 
Exim Bank ya Korea imeikopesha Serikali ya Tanzania zaidi ya Bilioni 400 Kwa Ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kisasa na Chuo Cha Mafunzo(Mfano wa Muhimbili-Mlonganzila) Zanzibar.

---
Serikali ya Tanzania imepokea mkopo wa Dola za Marekani 163.6 milioni (Sh427.8 bilioni) kutoka Benki ya Exim ya Korea, kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Binguni Zanzibar pamoja na kituo cha mafunzo ya utabibu.

Mkataba wa mkopo huo umesainiwa leo Juni 5, 2024 kati ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Natu Mwamba na Mkurugenzi Mtendaji Mwandamizi wa Benki ya Exim ya Korea, Hwang Kiyeon na kushuhudiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais wa Zanzibar, Fedha na Mipango, Dk Saada Mkuya.

Mkataba huo wa mkopo umetiwa saini wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiendelea na ziara yake ya siku sita nchini Korea.

Chanzo: Mwananchi

My Take
Tunawashukuru watu wa Korea. Mcheza kwao hutunzwa, turudi nyumbani kumenoga.

Pia soma RC Chalamila: Hospitali ya Muhimbili itabomolewa yote na kujengwa upya kwa msaada wa Korea Kusini alipokwenda Rais Samia

Pia someni hapa Tanzania Kushirikiana na Korea Kusini Kujenga Bandari ya Uvuvi Bagamoyo. Itagharimu Bilioni 400
Akili+Elimu! Elimu+Akili! ..... Mkopaji Tanganyika, Mtumiaji Zanzibar, Mlipaji Tanganyika!!!
 
Kunapokuwa na maslahi yenu ndiyo mnakumbuka kuwa hii ni nchi moja
Kwan tanzania Bara imefaidik kwa mangap kutok zanzobar. N mbona inafidik hadi kesho, mbona kipimd waznzbr wanalalamiki muungano mlikua kimya kipind kile ??

Anyway, mm sipo upande wa znz wala upand wa Tz bara.
Nachotaman ni kuona siku moja serikali ya zanzibar na rais wa znz wanaondok na inabk kama nchi moja rais mmoja na bunge moja tu jeshi moja katiba moja Utaifa mmoja.
 
Kwan bro alieleta muungano ni nani ? Ni nyerere kwa kumfos karume. Na karume alivotaka kujitoa ..... kilichoendelea kinajulikana. Af bro ww muungano nadhan wengi hamuujui upoje hamjui unafany kaz vp. Em tafta mwanang source za kuaminik usome.
Mkuu,
Muasisi halisi wa muungano alikuwa USA ili kuzuia kuenea kwa ukomunisti. Nyerere na Karume walitumika tu.

Bahati nzuri kwa sasa huyo muasisi hana haja na huo muungano
 
Wanalipa ZRA not TRA
Nd maana nawambia hamjui hat mnacho ongea, kiwango unacholipa ww uliepo Mbarali Mbeya Au Kasulu hat aliepo Unguja mjin nae analipa hicho hicho kwa TRA,
Alaf anakuja koulipa tena na ZRB kias kingine.
Lkn nyiny hamyajui yote hayo
 
Exim Bank ya Korea imeikopesha Serikali ya Tanzania zaidi ya Bilioni 400 Kwa Ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kisasa na Chuo Cha Mafunzo(Mfano wa Muhimbili-Mlonganzila) Zanzibar.

---
Serikali ya Tanzania imepokea mkopo wa Dola za Marekani 163.6 milioni (Sh427.8 bilioni) kutoka Benki ya Exim ya Korea, kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Binguni Zanzibar pamoja na kituo cha mafunzo ya utabibu.

Mkataba wa mkopo huo umesainiwa leo Juni 5, 2024 kati ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Natu Mwamba na Mkurugenzi Mtendaji Mwandamizi wa Benki ya Exim ya Korea, Hwang Kiyeon na kushuhudiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais wa Zanzibar, Fedha na Mipango, Dk Saada Mkuya.

Mkataba huo wa mkopo umetiwa saini wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiendelea na ziara yake ya siku sita nchini Korea.

Chanzo: Mwananchi

My Take
Tunawashukuru watu wa Korea. Mcheza kwao hutunzwa, turudi nyumbani kumenoga.

Pia soma RC Chalamila: Hospitali ya Muhimbili itabomolewa yote na kujengwa upya kwa msaada wa Korea Kusini alipokwenda Rais Samia

Pia someni hapa Tanzania Kushirikiana na Korea Kusini Kujenga Bandari ya Uvuvi Bagamoyo. Itagharimu Bilioni 400
ila watakaolipa ni WATANGANYIKA. hii nchi hii.
 
Back
Top Bottom