Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sio likizo tu wahame ila haitowasaidia watakamatwa kama kukuIkithibika kwamba bodaboda ndio waliochoma hilo basi nashauri vijiwe vya boda vilivyopo karibu na eneo la tukio wajipe likizo au watafute pahala pengine pa kufanyia shughuli zao kwa muda.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
daaahhh,mbona boda mmefika mbali sanaBasi la Kampuni ya Sai Baba linalofanya Safari kutoka Dar es Salaam kuelekea Mkoani Arusha limeteketezwa kwa Moto mara baada ya kusababisha Ajali kwa kumgonga Dereva wa Bodaboda na kudaiwa kusababisha kifo kwa dereva huyo wa Bodaboda katika eneo la Msambiazi wilayani Korogwe mkoani Tanga leo Februari 27, 2024.
Waendesha Pikipiki (Bodaboda) katika eneo hilo wamejichukulia sheria mkononi mara baada ya kushuhudia ajali hiyo ikitokea kwa kulichoma basi hilo moto kwa kutumia mafuta ya Petro
Haijalishi. Kuna wanaosomesha kwa kuuza bangi, kujiuza n.k.Kuna watu wanasomesha kupitia boda boda boda hizo alafu unasema piga waendesha boda
Ushauri wako nini wataka kuwaambiaHaijalishi. Kuna wanaosomesha kwa kuuza bangi, kujiuza n.k.
Maua upeweKwakua ,Masikini Hana Haki katika mahakama zetu, sana sana Mmliki wa Bus Hilo bado angetafuta kunyonya Ndugu wa marehem, yaaan umegonga, umeuua, na Bado ulipwe fidia wewe.
Niwapongeze Bodaboda Kwa Hatua hii nzurii na ushirikiani wao Hadi kufanikisha Kuchomwa na kuteketea teketeke Kwa Bus hili
Ndiooo masikini tuna Roho mbayaπ π
Pumzika Kwa Aman Degree Holder, ulosomeshwa, Ajira hamna, ukaamua kujiajiri na sasa umeondoka.
kweli kabisa, wana vurugu za speed bila kuangalia wako wapiSawa hao bodaboda wamekosea kuchoma hilo basi ila madereva wa mabasi ni washenzi sana yaani wanacheza rafu barabarani hatari. mimi nikiona basi naweka chombo yangu pembeni namuachia njia nyeupe.
oya ilishatokea kigamboni jamaa aligongwa na bonda taa za nyuma zikapasuka alikua na crown boda akataka kusepa jamaa akampelekea ngoma basi boda wakaanza kumkimbiza alikua anawafuta anakimbiza anawasubiri wakitaka kumpita anawapeleka mtaroni tukio lilikua usiku road ya kutoka mikadi mpka mji mwema kile kipande watu walilazwa sana mtaroni ....Hao wapuuzi sana. Juzi kuna mmoja kaja kunigonga mi nikiwa na gari. Jamaa nimemuona toka mbali akikimbiza pikipiki pamoja na kumpungia mkono kuashiria apunguze mwendo bado kaja nivaa.
Siku wakinigonga na kujifanya kutaka choma gari au nipiga mawe, mtasikia jamaa kaua Bodaboda 20 kwa kuwagonga na gari. Mapuuzi sana, hayajui sheria yenyewe ni kukimbia na kujichomeka kila sehemu.
Bora ingekuwa hasira ni mkumbo..!Hapo kuna wanawake wanaenda kubaki wajane
Waliosababisha kisanga hapo washatorokea Dsm na kuacha familia zilitaabika. Hasira hasara
Wakikamatwa wakalipe watauziwa hadi viwanja vya babu zaoBasi la Kampuni ya Sai Baba linalofanya Safari kutoka Dar es Salaam kuelekea Mkoani Arusha limeteketezwa kwa Moto mara baada ya kusababisha Ajali kwa kumgonga Dereva wa Bodaboda na kudaiwa kusababisha kifo kwa dereva huyo wa Bodaboda katika eneo la Msambiazi wilayani Korogwe mkoani Tanga leo Februari 27, 2024.
Waendesha Pikipiki (Bodaboda) katika eneo hilo wamejichukulia sheria mkononi mara baada ya kushuhudia ajali hiyo ikitokea kwa kulichoma basi hilo moto kwa kutumia mafuta ya Petroli.
View attachment 2918376View attachment 2918378View attachment 2918377
Sasabunsjua mkumbo uko na mmbo mengi chief acha watulize hasira zao kila raheli kwa waliochoma bus hilo π€£π€£Bora ingekuwa hasira ni mkumbo..!
Watapatwa wapiHao ni waalifu kama waalifu wengine wakamatwe na washtakiwe tabia nyingine sio za kuzivumilia kuna siku watakamata gari la kiongozi na kulichoma.
Haki ikikosekana mahakamani, yanayofuata ni haya.Basi la Kampuni ya Sai Baba linalofanya Safari kutoka Dar es Salaam kuelekea Mkoani Arusha limeteketezwa kwa Moto mara baada ya kusababisha Ajali kwa kumgonga Dereva wa Bodaboda na kudaiwa kusababisha kifo kwa dereva huyo wa Bodaboda katika eneo la Msambiazi wilayani Korogwe mkoani Tanga leo Februari 27, 2024.
Waendesha Pikipiki (Bodaboda) katika eneo hilo wamejichukulia sheria mkononi mara baada ya kushuhudia ajali hiyo ikitokea kwa kulichoma basi hilo moto kwa kutumia mafuta ya Petroli.
View attachment 2918376View attachment 2918378View attachment 2918377
π€£π€£π€£πHapo ni kuwakata boda boda wote wa kijiji hicho wapigiwe hesabu ya bus wachange walipe
Zipigwe marufuku tuuKuna watu wanasomesha kupitia boda boda boda hizo alafu unasema piga waendesha boda