Korogwe: Bodaboda wadaiwa kuchoma basi la Saibaba baada ya mwenzao kugongwa

Siwaamini hawa watu,nimeshaona wanaua watu wasio na hatia kupitia umoja wao kipuuzi kwa mambo ya barabaran tu tena mara nyingi wao ndo wenye shida.
 
Kuna wanaomuita Lema ni nabii. Sasa tunaona kile alichokiita 'laana'!
Kwa sasa kunguni wanajificha jua limetoka wanaogopa kuonwa na binadamu, ila ingekuwa upande mwingine wasinge ogopa hata jua la saa saba!.
 
Laana hiyo inatokana na kwamba una Hela na uwezo wa kigari
 
Wasambaa na wadigo wana roho ngumu na mbaya na isiyo na huruma kama akina nanii wanaochinja watu huku wakimuita mtu wanayesema ni "mungu"

Ukipata ajali hapo wanakuja kukumalizia na kukuibia.
Ukiharibikiwa gari wanatamani ufe wakuibie.
ajali ikitokea wanavua maiti nguo na hata nguo za ndani.
 
Aiseeee hawa madereva wa serikali na bodaboda hawana tofauti kabisaa!!! Upo Sahihi Kwa upande Fulani Ila hawa bodaboda lazima serikali ifanye Jambo Fulani la Sheria Kwa hawa jamaa
 
Tenaa mno.
 
Bodaboda alikuwa analipita lori bila kuangalia mbele akajiingiza kwanye basi, picha inaonesha magurudumu ya kushoto yako sehemu yake sahihi karibu na msitari wa rangi ya chungwa.
 
Mbona picha inaonesha basi liko upande wake sahihi, angalia magurudumu ya kushoto yapo kwenye msitari wa orenji wa kushoto, ni dhahiri bodaboda alijiingiza kwenye basi.
 
Ila saibaba ruti nyiingi mara mbeya,kampala,masasi,tanga,sumbawanga...gari zenyewe sasa vichekesho.
 
Tusitetee bodaboda. Hawa jamaa ni wapuuzi mno hawana akili kabisa. Mbona hujasikia baiskeli hapo kagongwa au hata gari ndogo kila mara ni wao mwendo kasi Dar e salaam unakuta wao. Sasa niambie mwenye basi kawakosea nini kumtia hasara? abiria kosa lao lipi kuwatia hasara? haya uharibifu wa barabara hapo bado huoni hawa wajinga ni wapumbavu sana. Hujakutana nao ndiyo maana unawatetea jamaa wanatuharibia magari mno bumper wanazipitia na side mirror kiufupi ni wapuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…