Korona: Watanzania Tujilinde, Serikali inajali Uchumi kuliko Uhai wenu - Zitto

Korona: Watanzania Tujilinde, Serikali inajali Uchumi kuliko Uhai wenu - Zitto

Ndo Magufuli kachagua njia ya kutoa kafara Wananchi wake. Too sad. Wale wataadapt vizuri watapona, watakaofail ni kwa heri. Uzuri ni kwamba virus hachagui na atamfikia Magufuli mwenyewe,na hivi ana underlying issues hapo ndo atajua kuwa hajui.
 
Kwa hiyo? Mwanamke wa Tanzania anategemewa kupata watoto 5.2 hivyo 3% wakifa siyo ishu kitakwimu ukiachilia uchungu wa waliopoteza watu, tunarekebisha hiyo idadi fasta, wewe mwenyewe Zito Kabwe nina uhakika una watoto nje ya ndoa, ...
Ohooo hapa tushaanza kupotezana
 
Unamaisha mazuri ila umeruhusu vishambulizi vya Afya yako vikutie kashikashi, Hata hivyo hujachelewa kujisaidia, ondoa mapenzi makubwa yaliyopitiliza kwenye vitu vya kipumbavu, hii itakusaidia kuondoa presha nyemelezi ambayo ni hatari kuliko Corona,,. Zingatia hili mkuu..
Haya wazee wa herd immunity. Angalieni Sweeden na Brazil wlivyokung'utwa.
 
Ha ha ha

Mi nimetoa hoja

Na si kile apingaye jambo humu Ni CCM, pole sana....
Nili ku qoute bahati mbaya, ulikaa katikati ya viaz

by the way hizo tafiti ziko mitandaon, sio maneno yake hata...ni tafiti za watafiti

survival of the fittest
Natural selection

Nature inaamua nani abaki nani aende

hawa viazi wa CCM wanadhani wako salama, Ummy kasema alikua keshaanda vitanda 1000 na eneo la uwanja wa sabasaba litumike, maneno ya Rais ndio yakafanya waache.. yani kwa lugha nyingine, Ni saa sita usiku na luku imekata, ummy akata zama M pesa anunue Magu akamwambia we huon sasa hv mchana na jua linawaka, Ummy akasema Ok. ... and it was confirmation kwamba tunaingia huko kwenye Herd immunity

Hawa digidig wanao shambulia Zitto unaweza ukute afya zao ni spana mkono, they have no idea what lies ahead of us

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao watu 3% wamekufa wapi?? Watu wote wa mkoa wa Njombe wafe afu hali iwe kama ilivyo, Subutuuu.

Kwa hili, nampongeza Raisi, he was a visionary.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna tofauti kati ya WATAKUFA na WAMEKUFA. Kama vile iliyopo kati ya WAS na IS. Kwa kutumia "was" unaweza kusingiwa kuwa unamaanisha kuwa Rais (again, kuna toauti kati ya RAIS na RAISI) is no longer a visionary. Sidhani kuwa ulikuwa na maana hiyo.

Amandla....
 
Kwa hoja hizi, Zitto ni mtu hatari sana. Yawezekana huenda ana mpango wa kuihujumu Serikali kwa kupandikiza virusi vya Corona, hasa vyuoni na shuleni, zitakapofunguliwa. Hivyo nashauri:-

1. Vyombo vya Serikali zimfuatilie kwa karibu.

2. Viongozi wa vyuo na shule, wawe makini kwa kufuatilia mienendo ya wafanyakazi na wanafunzi wote.

3. Serikali itoe vifaa vya kutosha vya kupima virusi na pia vya kinga dhidi ya maambukizi, kwa kila chuo na sekondari.

4. Wafanyakazi, wanachuo na wanafunzi wote wapimwe kabla ya kufunguliwa vyuo/shule.

TANZANIA BILA COVID-19 itawezekana kwa kila mtu kutimiza wajibu wake.

JIKINGE UMKINGE JIRANI

JILINDE UWALINDE WAPENDWA WAKO
 
Nili ku qoute bahati mbaya, ulikaa katikati ya viaz

by the way hizo tafiti ziko mitandaon, sio maneno yake hata...ni tafiti za watafiti

survival of the fittest
Natural selection

Nature inaamua nani abaki nani aende...
If you believe you are not safe under current government measures to combat the spread of CORONA Virus, and thus the pandemic COVID-19, why don't you relocate to a safe country of your choice.

Yawezekana umepoteza mwanafamilia, ndugu au rafiki, nikupe pole na kuwaombea roho zao zilazwe pema peponi. Hivyo si vizuri ukaungana nao mapema kabla hujsmajiandaa, ndiyo maana umeanfika kwa uchungu sana.

Tanzania ni salama hadi sasa, maisha yakiendelea kama kawaida vijijini, mijini na hata kwenye makazi ya watu wengi.
 
Sisi tumeachagua kufa ,kila mtu atakufa kikubwa maisha lazima yaendelee. Tukutane jumapili samaki samaki

Tusisahau barakoa, kuosha mikono kwa maji na sabuni


It is never too late to begin. Start now
 
Wewe mzee acha kudanganya umma kila siku tunashindwa kuelewa wewe ni mnyama au ndege maana unakuwa popo. Mara ya kwanza ulizunguka ughaibuni na kuandika barua ili tusipate mkopo lakini kudhihiridha Mungu anasikiliza sauti ya umma na mkopo tukapata.

Sasa hivi Rais wetu anaendelea vizuri na kuhusu kupambana na corona ametekeleza kwa ueledi wa hali ya juu. Kazi inaendelea kufanyika na watu wakijipa tahadhari na covid 19.

Siyo lazima upinge kila kitu serikali inavyofanya vyema pongeza.
 
Serikali inaweza kutuficha Watanzania kuhusu mikopo ya ajabu ajabu lakini haiwezi kuwaficha mabeberu..wamewaumbua Hadi wanaomba radhi..

Kumbe BOT kupunguza riba kwa mabenki ni sharti moja wapo la mkopo toka Benk ya Dunia..

Nilitaka nishangae hii serikali toka lini ikawa na huruma na Watanzania kiasi hicho.?
 
Well Said outspoken Leader!!! ... Once Osama Bin Laden said to his Followers, "Your safety will not be grated by John Kerry, George Bush or Tony Blair, rather begins with you... Tujilinde Bandugu Bapendwa, Maan Simba (Corona) yupo Kikazi zaidi. Mh. Kikwete alitufunza ya Kwamba Siku zote akiri za Kuambiwa......
 
Duh!.. takwimu za huu ugonjwa ndio hatutazisikia tena maana umeshaisha sio?
 
Back
Top Bottom