Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
tunaendelea kuwasihi mzingatie M3 ambazo ni Miguu, Mikono na Mdomo; Miguu; kukaa umbali wa Mita 1-2 kati ya mtu na mtu na kuepuka misongamano, Mikono; kunawa mikono na sabuni kwa maji tiririka na Mdomo; kuepuka kugusa Mdomo, Pua na Macho na kuvaa Barakoa. Zitto Kabwe