Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Hapana...Once it's gone out of your body it's gone
The jury is still out on this.
Kuna taarifa kuwa kuna watu wamekuwa infected tena baada ya kupona lakini hamna uhakika kama kipimo cha kwanza kilikuwa sahihi. Kwa mantiki hiyo hamna mtu anayejua kama mtu anaepona COVID 19 anapata immunity.
Amandla...