Kosa alilofanya Mgunda Simba ni Kuongea na Mo kuhusu mkataba kamili kihalali kabla viongozi hawajaweka cha juu

Kosa alilofanya Mgunda Simba ni Kuongea na Mo kuhusu mkataba kamili kihalali kabla viongozi hawajaweka cha juu

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Inasemekana baada ya kupewa timu kwa Muda. Mo aliridhika na kiwango cha Timu. Akaamua kumpigia kujua vitu anavyotaka ili awe kocha. Mgunda akasema gharama zote na mahitaji.

Mo akaona huyu ndio anayefaa sasa. Kwasababu viongozi hawakupata cha juu zikaanza figisu.

Kuchonganishwa na baadhi wachezaji na viongozi hasa waliokuwa wanaanzia bench.

Mgunda akawa anapata shida sana kufanya sub. Zengwe likakua.

Baadae bodi kwa Wingi wao wakamkataa. Kuwa hawezi kuwakontrol wachezaji wakubwa. Hasa chama, Na Okra. Ikaonekana Chama ndio anaongoza Timu, Anampangia kikosi. Wakamtema.

Hapa Huyu kocha mpya. Bodi waliongea nae. Vile vile cha juu wakaanza. Gharama ikawa juu. Wakataka walete mwingine.

Mo akawasha simu akaongea na huyu. Baadae akawaambia tu anakuja. Hivyo asitegemee njia nyepesi simba.
 
Inasemekana baada ya kupewa timu kwa Muda. Mo alilidhika na kiwango cha Timu.
Akaamua kumpigia kujua vitu anavyotaka ili awe kocha. Mgunda akasema gharama zote na mahitaji.

Mo akaona huyu ndio anayefaa sasa. Kwasababu viongozi hawakupata cha juu zikaanza figisu.

Kuchonganishwa na baadhi wachezaji na viongozi hasa waliokuwa wanaanzia bench.

Mgunda akawa anapata shida sana kufanya sub. Zengwe likakua.

Baadae bodi kwa Wingi wao wakamkataa. Kuwa hawezi kuwakontrol wachezaji wakubwa. Hasa chama, Na Okra. Ikaonekana Chama ndio anaongoza Timu, Anampangia kikosi. Wakamtema.

Hapa Huyu kocha mpya. Bodi waliongea nae. Vile vile cha juu wakaanza. Gharama ikawa juu. Wakataka walete mwingine.

Mo akawasha simu akaongea na huyu. Baadae akawaambia tu anakuja. Hivyo asitegemee njia nyepesi simba.
Hayo majadiliano hayana maana kwa sasa. Kwanza timu haijatoa taarifa yoyote ya uhusika wa Mo katika sakata la kocha mpya.

Muhimu Benchikha atafutiwe mkalimani atakayekaa naye kwenye benchi la ufundi ili atoe maelekezo yake kwa uhuru zaidi bila kubanwa na lugha. Hili ni muhimu sana.
 
Hayo majadiliano hayana maana kwa sasa. Kwanza timu haijatoa taarifa yoyote ya uhusika wa Mo katika sakata la kocha mpya.

Muhimu Benchikha atafutiwe mkalimani atakayekaa naye kwenye benchi la ufundi ili atoe maelekezo yake kwa uhuru zaidi bila kubanwa na lugha. Hili ni muhimu sana.
Mtafuteni Cedric.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Inasemekana baada ya kupewa timu kwa Muda. Mo aliridhika na kiwango cha Timu. Akaamua kumpigia kujua vitu anavyotaka ili awe kocha. Mgunda akasema gharama zote na mahitaji.

Mo akaona huyu ndio anayefaa sasa. Kwasababu viongozi hawakupata cha juu zikaanza figisu.

Kuchonganishwa na baadhi wachezaji na viongozi hasa waliokuwa wanaanzia bench.

Mgunda akawa anapata shida sana kufanya sub. Zengwe likakua.

Baadae bodi kwa Wingi wao wakamkataa. Kuwa hawezi kuwakontrol wachezaji wakubwa. Hasa chama, Na Okra. Ikaonekana Chama ndio anaongoza Timu, Anampangia kikosi. Wakamtema.

Hapa Huyu kocha mpya. Bodi waliongea nae. Vile vile cha juu wakaanza. Gharama ikawa juu. Wakataka walete mwingine.

Mo akawasha simu akaongea na huyu. Baadae akawaambia tu anakuja. Hivyo asitegemee njia nyepesi simba.
Hivi mnapata faida gani kuandika uzushi humu? Kila anayevimbiwa kiporo cha ubwabwa ndodo akiamka anakuja kujambia humu.
 
Nyama za matambiko si nzuri kwa afya ya akili ya mlaji..
 
Back
Top Bottom