Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mchezoHapo jipige kifua
Kapime DNAMchepuko tayari ana mtoto wangu wa kike mzuri ajabu
Nisogezee na mimi
[/QUOTE
Utakufa kijana
n , wewe ndiyo una matatizo na mawazo yako ya ajabu, achana na binti wa watu unaemuita ana mkosi, kwani muoaji ni nani?ulirdhika NAE ukamweka ndani leo huu unamwita ana mkosiMimi najuta kwanini nilioa mapema tena huyu mwanamke ni nuksi. Toka nimeoa kila kitu kinaenda mrama, hapati mtoto mwaka wa 6 sasa, biashara tulianza zimekufa, kiufupi maisha yameharibika na nimepoteza mwelekeo kabisa.
Najuta, kutoka nashindwa. Nifanyaje?
Ana roho mbayaUnforgettable mbona unafuta kabla hatuja reply..?
Sa unajutia nini alikupa UKIMWI Au mapendo..haya pole dawa tumiaNajuta kumgegeda kiongozi mkubwa sana kwenye hii serikali ya awamu ya sita.
Ni mmama mtu mzima wa kunizaaSa unajutia nini alikupa UKIMWI Au mapendo..haya pole dawa tumia
Cc Poor Brain huyu ndio anayeweza hayo mambo ya watu wazmaNi mmama mtu mzima wa kunizaa
Wewe unashida unashauriwa Cha kufanya UNAANZISHA viji maswali maswali...Yeye ndio huombea ndoa?
Asante mkuuu nimepokeaWewe unashida unashauriwa Cha kufanya UNAANZISHA viji maswali maswali...
Kwa ushauri wangu kwa Sasa kua mtulivu pokea kila ushauri na kaa Chini chambua ushauri mmoja baada ya mmoja then fanyia kazi ushauri utakao ona unakufaa
#YOLO
nadhani ita depend na umri wako mkuu ingawa sio rahisi sana naweza hisi hivyo but mimi nadhani hakuna changes bila painSasa namwachaje maana pia kupata mwingine sio rahisi
Hapo kwenye mlango wa saba tunaomba ufafanuzi Zaid..Kuna wanawake ni gundu,wanaitwa mlango wa saba piga chini kimbia haraka sana utakufa masikini huna ntoto