mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
Duuuh! Sio mchezoNdiyo na hutokea katika jamii,wakiachana kila mtu hupata mtoto huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh! Sio mchezoNdiyo na hutokea katika jamii,wakiachana kila mtu hupata mtoto huko
Mwambie YESU...Mimi najuta kwanini nilioa mapema tena huyu mwanamke ni nuksi. Toka nimeoa kila kitu kinaenda mrama, hapati mtoto mwaka wa 6 sasa, biashara tulianza zimekufa, kiufupi maisha yameharibika na nimepoteza mwelekeo kabisa.
Tumepima afya yake wanasema hormones imbalance, ametumia dawa za kila aina, za hospital na kienyeji ila bado.
Kabla ya kumuoa mimi tayari nilishakuwa na mtoto ambaye kwa sasa ana 10 years. Pia baada ya kuona mambo hayaendi kuna mchepuko nilidate nae, nikapata nae mtoto. So ninao watoto wawili wa mama tofauti. Wazuri wanafanana, ila siipendi hii hali. Bado nataka watoto.
Huyu mke haponi, haoni siku zake sijui nifanye nn, kumuacha nashindwa maana ndiye anayelea mtoto wangu wa kwanza
Najuta, kutoka nashindwa. Nifanyaje?
mzee wa mbeya hahamimi najuta sana pale nilikuwa naona kama watu wanaokunywa pombe kisa mawazo nilikuwa nawaona kama wajinga hiki ktu najuta sana wanajamvini
Astakafillah astakafillah 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 et eeeeh nina experience nayo kabisa an..Cc Poor Brain huyu ndio anayeweza hayo mambo ya watu wazma
Ratchets ni wale wanawake wanaodhani wana "class"mashauzi,kumbe ni trash, hoodrats ni wale wanawake "cheap" kukupa Hana baadae,anaweza kumpa yeyote,muda wowote..mtaani Kila muhuni kamla..Ndio nnn
Mkuu mlaumu kwa mengine ila si kwa afya yake maana bila shaka naye anatamani mtoto lakini kuna mambo yako nje na uwezo wake kama hilo la mtoto.Mimi najuta kwanini nilioa mapema tena huyu mwanamke ni nuksi. Toka nimeoa kila kitu kinaenda mrama, hapati mtoto mwaka wa 6 sasa, biashara tulianza zimekufa, kiufupi maisha yameharibika na nimepoteza mwelekeo kabisa.
Tumepima afya yake wanasema hormones imbalance, ametumia dawa za kila aina, za hospital na kienyeji ila bado.
Kabla ya kumuoa mimi tayari nilishakuwa na mtoto ambaye kwa sasa ana 10 years. Pia baada ya kuona mambo hayaendi kuna mchepuko nilidate nae, nikapata nae mtoto. So ninao watoto wawili wa mama tofauti. Wazuri wanafanana, ila siipendi hii hali. Bado nataka watoto.
Huyu mke haponi, haoni siku zake sijui nifanye nn, kumuacha nashindwa maana ndiye anayelea mtoto wangu wa kwanza
Najuta, kutoka nashindwa. Nifanyaje?
Mkuu achana na hizo mentality za kuamini huyu ana mkosi huyu hana....Bas tu hakua fungu lako huenda ulipata Right person in a wrong timeMimi nilioa mwanamke mwenye nuksi kama huyo wa kwako,
nikafilisika ndani ya miezi minne tu.
nikaona isiwe shida, nikaomba msaada kwa ndugu nipate mtaji hata laki 3, wakakataa kabisa.
nikajitetea sana kwamba toka nioe kuna mabadiliko yametokea nahisi kufilisika.
Nikapewa jibu eti pambana, ndoa sio mchezo.
nikaona isiwe kesi, nikakopa elfu 30 tu nauli, nikamrudisha kwao mtoto wa baba mkwe!
siku hio anaondoka nilipata Furaha flani hivi sikujua hata imetoka wapi.
Baada ya wiki nikaona michongo imeanza kufunguka yenyewe.
Eti baada ya kumtimua huyu mwanamke nashangaa nalaumiwa eti kwanini nimevunja ndoa. Ndugu Bwana shida sana
sitosahau hii ishu yangu mwaka wa 3 sasa imenitokea. Binti yule aliolewa tena akaachika, kumbe kajaa mikosi tu mtoto wa watu hajajistukia tu
Huna cha kunifundisha hapo mkuu.Mkuu achana na hizo mentality za kuamini huyu ana mkosi huyu hana....Bas tu hakua fungu lako huenda ulipata Right person in a wrong time
Kila la kheri kijanaHuna cha kunifundisha hapo mkuu.
sorry for the scary tongue