Kosa gani unalijutia hadi leo?

Kosa gani unalijutia hadi leo?

Mimi najuta kwanini nilioa mapema tena huyu mwanamke ni nuksi. Toka nimeoa kila kitu kinaenda mrama, hapati mtoto mwaka wa 6 sasa, biashara tulianza zimekufa, kiufupi maisha yameharibika na nimepoteza mwelekeo kabisa.
Tumepima afya yake wanasema hormones imbalance, ametumia dawa za kila aina, za hospital na kienyeji ila bado.

Kabla ya kumuoa mimi tayari nilishakuwa na mtoto ambaye kwa sasa ana 10 years. Pia baada ya kuona mambo hayaendi kuna mchepuko nilidate nae, nikapata nae mtoto. So ninao watoto wawili wa mama tofauti. Wazuri wanafanana, ila siipendi hii hali. Bado nataka watoto.

Huyu mke haponi, haoni siku zake sijui nifanye nn, kumuacha nashindwa maana ndiye anayelea mtoto wangu wa kwanza



Najuta, kutoka nashindwa. Nifanyaje?
Mwambie YESU...
 
Mi mpaka sasa sina kosa ambalo seriously najutia.. naona nipo nipo tu.

Mybe nikiachana na huyu shangazi nitajutia mnooo mnooo.

Lakini mpaka sasa msimamo wetu upo strong stronger...
 
Mimi najuta kwanini nilioa mapema tena huyu mwanamke ni nuksi. Toka nimeoa kila kitu kinaenda mrama, hapati mtoto mwaka wa 6 sasa, biashara tulianza zimekufa, kiufupi maisha yameharibika na nimepoteza mwelekeo kabisa.
Tumepima afya yake wanasema hormones imbalance, ametumia dawa za kila aina, za hospital na kienyeji ila bado.

Kabla ya kumuoa mimi tayari nilishakuwa na mtoto ambaye kwa sasa ana 10 years. Pia baada ya kuona mambo hayaendi kuna mchepuko nilidate nae, nikapata nae mtoto. So ninao watoto wawili wa mama tofauti. Wazuri wanafanana, ila siipendi hii hali. Bado nataka watoto.

Huyu mke haponi, haoni siku zake sijui nifanye nn, kumuacha nashindwa maana ndiye anayelea mtoto wangu wa kwanza



Najuta, kutoka nashindwa. Nifanyaje?
Mkuu mlaumu kwa mengine ila si kwa afya yake maana bila shaka naye anatamani mtoto lakini kuna mambo yako nje na uwezo wake kama hilo la mtoto.
 
Kamwe usimuache mke wa ndoa kisa tu hajajaaliwa kuzaa.

Utakuwa umemfanyia ukatili mkubwa sana wa kisaikolojia mkuu.

Unless kama una uthibitisho kwamba hapati mimba kwasababu alichezea usichana wake kwa kutoatoa mimba, kutumia madawa kama p2 nakadhalika.
 
Mimi nilioa mwanamke mwenye nuksi kama huyo wa kwako,
nikafilisika ndani ya miezi minne tu.

nikaona isiwe shida, nikaomba msaada kwa ndugu nipate mtaji hata laki 3, wakakataa kabisa.

nikajitetea sana kwamba toka nioe kuna mabadiliko yametokea nahisi kufilisika.

Nikapewa jibu eti pambana, ndoa sio mchezo.

nikaona isiwe kesi, nikakopa elfu 30 tu nauli, nikamrudisha kwao mtoto wa baba mkwe!

siku hio anaondoka nilipata Furaha flani hivi sikujua hata imetoka wapi.

Baada ya wiki nikaona michongo imeanza kufunguka yenyewe.

Eti baada ya kumtimua huyu mwanamke nashangaa nalaumiwa eti kwanini nimevunja ndoa. Ndugu Bwana shida sana

sitosahau hii ishu yangu mwaka wa 3 sasa imenitokea. Binti yule aliolewa tena akaachika, kumbe kajaa mikosi tu mtoto wa watu hajajistukia tu
Mkuu achana na hizo mentality za kuamini huyu ana mkosi huyu hana....Bas tu hakua fungu lako huenda ulipata Right person in a wrong time
 
Nendeni kwa mtaalamu mkasafishwe nyota acheni kukaa kizembe kwa dunia ya sasa iliyojaa majungu na fitna za bila sababu, kizuri huzaa kibaya na kibaya huzaa kizuri!
 
Back
Top Bottom