Kosa kubwa alilolifanya Hayati Magufuli ni kutokuelewa utofauti wa adui na mpinzani

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Katika MAISHA ya siasa unabidi kuelewa ubora wako unategemea na ubora wa mpinzani wako.

Unapomgeuza mpinzani kuwa adui unabidi kujua unaenda kujiua na kujiangamiza.

Adui -ni yule anayepambana kukuondoa usiwepo

Mpinzani-ni yule anayetazama weakness zako na kuzi-expose ili uzifanyie kazi.

Ukichanganya hizo falsafa utaumia Sana katika siasa.
 
Haya wengi tuliyasema wakati akiwa hai, kwenye kilele cha urais wake. Tulimwambia aangalie sana, wapinzani wake kama kina Lissu, ni watu wanaompenda sana na wanaanika upungufu wake ili arekebishe. Tukamwambia maadui wake wakubwa wako CCM na wengi ni wale wanaomwimbia mapambio ya kumtukuza. Hakusikia sauti zetu.
 
Tumsamehe alikuwa ni mgonjwa kumbe
 
Yeye alikuwa anajua kuua pekee
 
Sasa mbona wafuasi wake kina Crimea bado wanawaona wapinzani maadui?!
 
Exactly
 
WAO ndiyo waliomchanganya hadi akafikia HATUA HIYO ya kushindwa kutofutisha KATI YA MPINZANI na adui. Still, NAYE PIA alikuwa hana moyo mpana sana wa kushughulika na mpinzani au adui YAKE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…