DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Haya wengi tuliyasema wakati akiwa hai, kwenye kilele cha urais wake. Tulimwambia aangalie sana, wapinzani wake kama kina Lissu, ni watu wanaompenda sana na wanaanika upungufu wake ili arekebishe. Tukamwambia maadui wake wakubwa wako CCM na wengi ni wale wanaomwimbia mapambio ya kumtukuza. Hakusikia sauti zetu.Katika MAISHA ya siasa unabidi kuelewa ubora wako unategemea na ubora wa mpinzani wako.
Unapomgeuza mpinzani kuwa adui unabidi kujua unaenda kujiua na kujiangamiza.
Adui -ni yule anayepambana kukuondoa usiwepo
Mpinzani-ni yule anayetazama weakness zako na kuzi-expose ili uzifanyie kazi.
Ukichanganya hizo falsafa utaumia Sana katika siasa.
Tumsamehe alikuwa ni mgonjwa kumbeKatika MAISHA ya siasa unabidi kuelewa ubora wako unategemea na ubora wa mpinzani wako.
Unapomgeuza mpinzani kuwa adui unabidi kujua unaenda kujiua na kujiangamiza.
Adui -ni yule anayepambana kukuondoa usiwepo
Mpinzani-ni yule anayetazama weakness zako na kuzi-expose ili uzifanyie kazi.
Ukichanganya hizo falsafa utaumia Sana katika siasa.
Yeye alikuwa anajua kuua pekeeHaya wengi tuliyasema wakati akiwa hai, kwenye kilele cha urais wake. Tulimwambia aangalie sana, wapinzani wake kama kina Lissu, ni watu wanaompenda sana na wanaanika upungufu wake ili arekebishe. Tukamwambia maadui wake wakubwa wako CCM na wengi ni wale wanaoimwimbia mapambio ya kumtukuza. Hakusikia sauti zetu.
Sasa mbona wafuasi wake kina Crimea bado wanawaona wapinzani maadui?!Katika MAISHA ya siasa unabidi kuelewa ubora wako unategemea na ubora wa mpinzani wako.
Unapomgeuza mpinzani kuwa adui unabidi kujua unaenda kujiua na kujiangamiza.
Adui -ni yule anayepambana kukuondoa usiwepo
Mpinzani-ni yule anayetazama weakness zako na kuzi-expose ili uzifanyie kazi.
Ukichanganya hizo falsafa utaumia Sana katika siasa.
Aliwaharibu snSasa mbona wafuasi wake kina Crimea bado wanawaona wapinzani maadui?!
Kivipi ? Leta mfano mmoja.Katika kipindi cha Magufuli, kosa kubwa walilofanya wapinzani ni kugeuka maadui binafsi wa mkuu wa nchi.
Kwani umezaliwa leo asubuhi?Kivipi ? Leta mfano mmoja.
Inatakiwa utoe mfano wa walichofanya au kusema wapinzani ambacho kilimaanisha ni uadui binafsi na sio upinzani kama upinzani mwingine wowote.Kwani umezaliwa leo asubuhi?
ExactlyKatika MAISHA ya siasa unabidi kuelewa ubora wako unategemea na ubora wa mpinzani wako.
Unapomgeuza mpinzani kuwa adui unabidi kujua unaenda kujiua na kujiangamiza.
Adui -ni yule anayepambana kukuondoa usiwepo
Mpinzani-ni yule anayetazama weakness zako na kuzi-expose ili uzifanyie kazi.
Ukichanganya hizo falsafa utaumia Sana katika siasa.
WAO ndiyo waliomchanganya hadi akafikia HATUA HIYO ya kushindwa kutofutisha KATI YA MPINZANI na adui. Still, NAYE PIA alikuwa hana moyo mpana sana wa kushughulika na mpinzani au adui YAKE.Katika MAISHA ya siasa unabidi kuelewa ubora wako unategemea na ubora wa mpinzani wako.
Unapomgeuza mpinzani kuwa adui unabidi kujua unaenda kujiua na kujiangamiza.
Adui -ni yule anayepambana kukuondoa usiwepo
Mpinzani-ni yule anayetazama weakness zako na kuzi-expose ili uzifanyie kazi.
Ukichanganya hizo falsafa utaumia Sana katika siasa.
Okay,Mungu ipokee Roho ya Lwajabe, Amina.