Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Wapinzani ndo wachunguzwe kwa ile hoja ya Luhaga Mpina?Katika MAISHA ya siasa unabidi kuelewa ubora wako unategemea na ubora wa mpinzani wako.
Unapomgeuza mpinzani kuwa adui unabidi kujua unaenda kujiua na kujiangamiza.
Adui -ni yule anayepambana kukuondoa usiwepo
Mpinzani-ni yule anayetazama weakness zako na kuzi-expose ili uzifanyie kazi.
Ukichanganya hizo falsafa utaumia Sana katika siasa.
Hoja yenye akili!!! Na ndio kipindi Wapinzani walitumiwa kumhujumu Mkuu wa NchiKatika kipindi cha Magufuli, kosa kubwa walilofanya wapinzani ni kugeuka maadui binafsi wa mkuu wa nchi.
Bado mko na marehemu tu, mhhKatika MAISHA ya siasa unabidi kuelewa ubora wako unategemea na ubora wa mpinzani wako.
Unapomgeuza mpinzani kuwa adui unabidi kujua unaenda kujiua na kujiangamiza.
Adui -ni yule anayepambana kukuondoa usiwepo
Mpinzani-ni yule anayetazama weakness zako na kuzi-expose ili uzifanyie kazi.
Ukichanganya hizo falsafa utaumia Sana katika siasa.
Bado mnateseka na marehemu?, hakika alikuwa mwamba haswaa!!!, endeleeni kuteseka na kivuli chakeKatika MAISHA ya siasa unabidi kuelewa ubora wako unategemea na ubora wa mpinzani wako.
Unapomgeuza mpinzani kuwa adui unabidi kujua unaenda kujiua na kujiangamiza.
Adui -ni yule anayepambana kukuondoa usiwepo
Mpinzani-ni yule anayetazama weakness zako na kuzi-expose ili uzifanyie kazi.
Ukichanganya hizo falsafa utaumia Sana katika siasa.
Alipenda kusifiwa kwa kudhani Yuko Sahihi kwa Kila jambo, kutokana na uelewa wake mdogo wa kisiasa, akadhani hata wapinzani wana jukumu la kumsifia. Akalazimisha uadui na watu waliokuwa sahihi kisheria. Matokeo yake akaanza kuweka siasa za mipaka kinyume na Sheria.Katika kipindi cha Magufuli, kosa kubwa walilofanya wapinzani ni kugeuka maadui binafsi wa mkuu wa nchi.
WAO ndiyo waliomchanganya hadi akafikia HATUA HIYO ya kushindwa kutofutisha KATI YA MPINZANI na adui. Still, NAYE PIA alikuwa hana moyo mpana sana wa kushughulika na mpinzani au adui YAKE.
Jiwe wapinzani aliwachukulia kama waasiKatika MAISHA ya siasa unabidi kuelewa ubora wako unategemea na ubora wa mpinzani wako.
Unapomgeuza mpinzani kuwa adui unabidi kujua unaenda kujiua na kujiangamiza.
Adui -ni yule anayepambana kukuondoa usiwepo
Mpinzani-ni yule anayetazama weakness zako na kuzi-expose ili uzifanyie kazi.
Ukichanganya hizo falsafa utaumia Sana katika siasa.
Nakumbuka alisema mwenyewe kwamba akipendwa na kusifiwa na mkewe inatosha, kwani alipewa urais ili awatumikie Watanzania.Alipenda kusifiwa kwa kudhani Yuko Sahihi kwa Kila jambo, kutokana na uelewa wake mdogo wa kisiasa, akadhani hata wapinzani wana jukumu la kumsifia. Akalazimisha uadui na watu waliokuwa sahihi kisheria. Matokeo yake akaanza kuweka siasa za mipaka kinyume na Sheria.
Mungu ipokee Roho ya Lwajabe, Amina.
RlP Mawazo , Lwajembe,Watu kwenye viroba n.kMazombie yanajipongeza baada ya kula nyama ya mtu!
Napiga sana vita mikesha ya mbio za mwenge na vilabu vya pombe za kienyeji sababu huko ndiko kwenye mimba nyingj za utotoni na kunapatikana mimba za wima matokeo yake watoto wanao zaliwa wanajihisi wanaweza kumwambia neno lolote mtu!RlP Mawazo , Lwajembe,Watu kwenye viroba n.k
Chupuchupu Mh Lissu angesepa kabla take...
Kipara bila akili ni Sawa tako.
Alichokuwa anasema sio alichokua anamaanisha, sisi tuliangalia matendo yake na sio maneno yake.Nakumbuka alisema mwenyewe kwamba akipendwa na kusifiwa na mkewe inatosha, kwani alipewa urais ili awatumikie Watanzania.
Magufuli hakupenda sifa za kijinga na unafiki.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Sasa hapo umeandika nini. Mpinzani wa kisiasa mwenye kutumia hila mbaya kama uongo na kukutukana ni adui wa kisiasa.Katika MAISHA ya siasa unabidi kuelewa ubora wako unategemea na ubora wa mpinzani wako.
Unapomgeuza mpinzani kuwa adui unabidi kujua unaenda kujiua na kujiangamiza.
Adui -ni yule anayepambana kukuondoa usiwepo
Mpinzani-ni yule anayetazama weakness zako na kuzi-expose ili uzifanyie kazi.
Ukichanganya hizo falsafa utaumia Sana katika siasa.
Kende wewe .... kipara bila akili ni Sawa takoNapiga sana vita mikesha ya mbio za mwenge na vilabu vya pombe za kienyeji sababu huko ndiko kwenye mimba nyingj za utotoni na kunapatikana mimba za wima matokeo yake watoto wanao zaliwa wanajihisi wanaweza kumwambia neno lolote mtu!
😂😂😂 hivihivi yaani hoja za Magufuli zitaendelea kujadiliwa hapa miongo mingi ijayoKende wewe .... kipara bila akili ni Sawa tako
Wewe fisi ....ipi Tutsi kama wakati najaribu kumelemisha huyu mpumbavu mwenzio😂😂😂 hivihivi yaani hoja za Magufuli zitaendelea kujadiliwa hapa miongo mingi ijayo
Badala ya kujadili hoja unatoa matusi tu