Kosa kubwa atakalolifanya Makonda ni kutolipiza kisasi

Kosa kubwa atakalolifanya Makonda ni kutolipiza kisasi

Alipe kisasi kwa cheo gani alichonacho?
Msemaji wa chama ni mtu mdogo sana kwenye chama.
Hata hivyo kwenye chama hicho ni yeye ndiye mwenye tuhuma nyingi kuliko hawo unaotaka awalipizie.
Ajaribu tuone vita ya Dunia
 
Kwanza ieleweke, kisasi ni haki!

Kwa namna Paul alivyotengwa na kunangwa, kutwezwa na hata kusilibiwa na mahasimu wake kipindi alipokuwa hana kazi ni wazi kama lipo kosa atalitenda ni kutolipa kisasi kwalo.

Paul, kwanza anapaswa aelewe watesi wake walianza kumtafutia namna ya kummaliza tena tokea waliposikia tetesi ya kurejeshwa kwake.

Paul, pili atambue vita vimhusuzo sasa ni zaidi ya vile vilivyopita hapo nyuma!

Paul, tatu asithubutu kumwamini yeyote awaye baada ya fursa ya kiuongozi aliyoipata kwa mara nyingine.

Mwisho ( na si kwa u-muhimu ), Paul ni lazima alipe kisasi cha haja na kuwatenga mbali watesi wake ili kuwanyima wasaa wanao weza kuutumia kumwangamiza kwa ukaribu alio nao sasa.
Makaonda au Bashite????tuanzie hapo kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza ieleweke, kisasi ni haki!

Kwa namna Paul alivyotengwa na kunangwa, kutwezwa na hata kusilibiwa na mahasimu wake kipindi alipokuwa hana kazi ni wazi kama lipo kosa atalitenda ni kutolipa kisasi kwalo.

Paul, kwanza anapaswa aelewe watesi wake walianza kumtafutia namna ya kummaliza tena tokea waliposikia tetesi ya kurejeshwa kwake.

Paul, pili atambue vita vimhusuzo sasa ni zaidi ya vile vilivyopita hapo nyuma!

Paul, tatu asithubutu kumwamini yeyote awaye baada ya fursa ya kiuongozi aliyoipata kwa mara nyingine.

Mwisho ( na si kwa u-muhimu ), Paul ni lazima alipe kisasi cha haja na kuwatenga mbali watesi wake ili kuwanyima wasaa wanao weza kuutumia kumwangamiza kwa ukaribu alio nao sasa.
Ile nyumba aliyekuwa adadai kunyamganywa ilisharudi?
 
Kwanza ieleweke, kisasi ni haki!

Kwa namna Paul alivyotengwa na kunangwa, kutwezwa na hata kusilibiwa na mahasimu wake kipindi alipokuwa hana kazi ni wazi kama lipo kosa atalitenda ni kutolipa kisasi kwalo.

Paul, kwanza anapaswa aelewe watesi wake walianza kumtafutia namna ya kummaliza tena tokea waliposikia tetesi ya kurejeshwa kwake.

Paul, pili atambue vita vimhusuzo sasa ni zaidi ya vile vilivyopita hapo nyuma!

Paul, tatu asithubutu kumwamini yeyote awaye baada ya fursa ya kiuongozi aliyoipata kwa mara nyingine.

Mwisho ( na si kwa u-muhimu ), Paul ni lazima alipe kisasi cha haja na kuwatenga mbali watesi wake ili kuwanyima wasaa wanao weza kuutumia kumwangamiza kwa ukaribu alio nao sasa.
Kisasi ni kuongeza vilema.
 
Kwanza ieleweke, kisasi ni haki!

Kwa namna Paul alivyotengwa na kunangwa, kutwezwa na hata kusilibiwa na mahasimu wake kipindi alipokuwa hana kazi ni wazi kama lipo kosa atalitenda ni kutolipa kisasi kwalo.

Paul, kwanza anapaswa aelewe watesi wake walianza kumtafutia namna ya kummaliza tena tokea waliposikia tetesi ya kurejeshwa kwake.

Paul, pili atambue vita vimhusuzo sasa ni zaidi ya vile vilivyopita hapo nyuma!

Paul, tatu asithubutu kumwamini yeyote awaye baada ya fursa ya kiuongozi aliyoipata kwa mara nyingine.

Mwisho ( na si kwa u-muhimu ), Paul ni lazima alipe kisasi cha haja na kuwatenga mbali watesi wake ili kuwanyima wasaa wanao weza kuutumia kumwangamiza kwa ukaribu alio nao sasa.
Hasa Clouds Tv
 
Kwanza ieleweke, kisasi ni haki!

Kwa namna Paul alivyotengwa na kunangwa, kutwezwa na hata kusilibiwa na mahasimu wake kipindi alipokuwa hana kazi ni wazi kama lipo kosa atalitenda ni kutolipa kisasi kwalo.

Paul, kwanza anapaswa aelewe watesi wake walianza kumtafutia namna ya kummaliza tena tokea waliposikia tetesi ya kurejeshwa kwake.

Paul, pili atambue vita vimhusuzo sasa ni zaidi ya vile vilivyopita hapo nyuma!

Paul, tatu asithubutu kumwamini yeyote awaye baada ya fursa ya kiuongozi aliyoipata kwa mara nyingine.

Mwisho ( na si kwa u-muhimu ), Paul ni lazima alipe kisasi cha haja na kuwatenga mbali watesi wake ili kuwanyima wasaa wanao weza kuutumia kumwangamiza kwa ukaribu alio nao sasa.
Na risasi alizommiminia Lisu ni Haki atunguliwe na yeye. Asante kwa kukumbusha
 
Nilisoma kichwa cha habari nikahisi nimekosea kusoma nikarudia tena. Pepo tutaiona Kwa kudra zake Mungu
 
Kwanza ieleweke, kisasi ni haki!

Kwa namna Paul alivyotengwa na kunangwa, kutwezwa na hata kusilibiwa na mahasimu wake kipindi alipokuwa hana kazi ni wazi kama lipo kosa atalitenda ni kutolipa kisasi kwalo.

Paul, kwanza anapaswa aelewe watesi wake walianza kumtafutia namna ya kummaliza tena tokea waliposikia tetesi ya kurejeshwa kwake.

Paul, pili atambue vita vimhusuzo sasa ni zaidi ya vile vilivyopita hapo nyuma!

Paul, tatu asithubutu kumwamini yeyote awaye baada ya fursa ya kiuongozi aliyoipata kwa mara nyingine.

Mwisho ( na si kwa u-muhimu ), Paul ni lazima alipe kisasi cha haja na kuwatenga mbali watesi wake ili kuwanyima wasaa wanao weza kuutumia kumwangamiza kwa ukaribu alio nao sasa.
Wewe Paul nini nani? Au unamanisha Bashite?
 
H

Hiyo ni mojawapo ya kanuni za kwenye siasa... ukipata fursa ya kumtandika opponent wako unamtandika kisawa sawa asiweze amka tena. Kama vile Yanga FC ilivyo mtandika Simba FC 5G.
Na mzunguko wa pili asipojipanga tunaongeza zile mbili tulizokosa kwa uzembe zinakuwa saba. na yeye hapati hata moja. mmmke
 
Na mzunguko wa pili asipojipanga tunaongeza zile mbili tulizokosa kwa uzembe zinakuwa saba. na yeye hapati hata moja. mmmke
unasema 5G haijatosha, mbona hata China hawajafika 7G, una harakia nini?
 
Kwanza ieleweke, kisasi ni haki!

Kwa namna Paul alivyotengwa na kunangwa, kutwezwa na hata kusilibiwa na mahasimu wake kipindi alipokuwa hana kazi ni wazi kama lipo kosa atalitenda ni kutolipa kisasi kwalo.

Paul, kwanza anapaswa aelewe watesi wake walianza kumtafutia namna ya kummaliza tena tokea waliposikia tetesi ya kurejeshwa kwake.

Paul, pili atambue vita vimhusuzo sasa ni zaidi ya vile vilivyopita hapo nyuma!

Paul, tatu asithubutu kumwamini yeyote awaye baada ya fursa ya kiuongozi aliyoipata kwa mara nyingine.

Mwisho ( na si kwa u-muhimu ), Paul ni lazima alipe kisasi cha haja na kuwatenga mbali watesi wake ili kuwanyima wasaa wanao weza kuutumia kumwangamiza kwa ukaribu alio nao sasa.
Badili Paul weka Daudi Bashite ... By the way amlipizie kisasi nani na kwa nini? The other way could be true
 
Back
Top Bottom