imam hamzah
Member
- Oct 31, 2023
- 19
- 43
Makaonda au Bashite????tuanzie hapo kwanzaKwanza ieleweke, kisasi ni haki!
Kwa namna Paul alivyotengwa na kunangwa, kutwezwa na hata kusilibiwa na mahasimu wake kipindi alipokuwa hana kazi ni wazi kama lipo kosa atalitenda ni kutolipa kisasi kwalo.
Paul, kwanza anapaswa aelewe watesi wake walianza kumtafutia namna ya kummaliza tena tokea waliposikia tetesi ya kurejeshwa kwake.
Paul, pili atambue vita vimhusuzo sasa ni zaidi ya vile vilivyopita hapo nyuma!
Paul, tatu asithubutu kumwamini yeyote awaye baada ya fursa ya kiuongozi aliyoipata kwa mara nyingine.
Mwisho ( na si kwa u-muhimu ), Paul ni lazima alipe kisasi cha haja na kuwatenga mbali watesi wake ili kuwanyima wasaa wanao weza kuutumia kumwangamiza kwa ukaribu alio nao sasa.
Ile nyumba aliyekuwa adadai kunyamganywa ilisharudi?Kwanza ieleweke, kisasi ni haki!
Kwa namna Paul alivyotengwa na kunangwa, kutwezwa na hata kusilibiwa na mahasimu wake kipindi alipokuwa hana kazi ni wazi kama lipo kosa atalitenda ni kutolipa kisasi kwalo.
Paul, kwanza anapaswa aelewe watesi wake walianza kumtafutia namna ya kummaliza tena tokea waliposikia tetesi ya kurejeshwa kwake.
Paul, pili atambue vita vimhusuzo sasa ni zaidi ya vile vilivyopita hapo nyuma!
Paul, tatu asithubutu kumwamini yeyote awaye baada ya fursa ya kiuongozi aliyoipata kwa mara nyingine.
Mwisho ( na si kwa u-muhimu ), Paul ni lazima alipe kisasi cha haja na kuwatenga mbali watesi wake ili kuwanyima wasaa wanao weza kuutumia kumwangamiza kwa ukaribu alio nao sasa.
Kisasi ni kuongeza vilema.Kwanza ieleweke, kisasi ni haki!
Kwa namna Paul alivyotengwa na kunangwa, kutwezwa na hata kusilibiwa na mahasimu wake kipindi alipokuwa hana kazi ni wazi kama lipo kosa atalitenda ni kutolipa kisasi kwalo.
Paul, kwanza anapaswa aelewe watesi wake walianza kumtafutia namna ya kummaliza tena tokea waliposikia tetesi ya kurejeshwa kwake.
Paul, pili atambue vita vimhusuzo sasa ni zaidi ya vile vilivyopita hapo nyuma!
Paul, tatu asithubutu kumwamini yeyote awaye baada ya fursa ya kiuongozi aliyoipata kwa mara nyingine.
Mwisho ( na si kwa u-muhimu ), Paul ni lazima alipe kisasi cha haja na kuwatenga mbali watesi wake ili kuwanyima wasaa wanao weza kuutumia kumwangamiza kwa ukaribu alio nao sasa.
Hasa Clouds TvKwanza ieleweke, kisasi ni haki!
Kwa namna Paul alivyotengwa na kunangwa, kutwezwa na hata kusilibiwa na mahasimu wake kipindi alipokuwa hana kazi ni wazi kama lipo kosa atalitenda ni kutolipa kisasi kwalo.
Paul, kwanza anapaswa aelewe watesi wake walianza kumtafutia namna ya kummaliza tena tokea waliposikia tetesi ya kurejeshwa kwake.
Paul, pili atambue vita vimhusuzo sasa ni zaidi ya vile vilivyopita hapo nyuma!
Paul, tatu asithubutu kumwamini yeyote awaye baada ya fursa ya kiuongozi aliyoipata kwa mara nyingine.
Mwisho ( na si kwa u-muhimu ), Paul ni lazima alipe kisasi cha haja na kuwatenga mbali watesi wake ili kuwanyima wasaa wanao weza kuutumia kumwangamiza kwa ukaribu alio nao sasa.
Na risasi alizommiminia Lisu ni Haki atunguliwe na yeye. Asante kwa kukumbushaKwanza ieleweke, kisasi ni haki!
Kwa namna Paul alivyotengwa na kunangwa, kutwezwa na hata kusilibiwa na mahasimu wake kipindi alipokuwa hana kazi ni wazi kama lipo kosa atalitenda ni kutolipa kisasi kwalo.
Paul, kwanza anapaswa aelewe watesi wake walianza kumtafutia namna ya kummaliza tena tokea waliposikia tetesi ya kurejeshwa kwake.
Paul, pili atambue vita vimhusuzo sasa ni zaidi ya vile vilivyopita hapo nyuma!
Paul, tatu asithubutu kumwamini yeyote awaye baada ya fursa ya kiuongozi aliyoipata kwa mara nyingine.
Mwisho ( na si kwa u-muhimu ), Paul ni lazima alipe kisasi cha haja na kuwatenga mbali watesi wake ili kuwanyima wasaa wanao weza kuutumia kumwangamiza kwa ukaribu alio nao sasa.
Wewe Paul nini nani? Au unamanisha Bashite?Kwanza ieleweke, kisasi ni haki!
Kwa namna Paul alivyotengwa na kunangwa, kutwezwa na hata kusilibiwa na mahasimu wake kipindi alipokuwa hana kazi ni wazi kama lipo kosa atalitenda ni kutolipa kisasi kwalo.
Paul, kwanza anapaswa aelewe watesi wake walianza kumtafutia namna ya kummaliza tena tokea waliposikia tetesi ya kurejeshwa kwake.
Paul, pili atambue vita vimhusuzo sasa ni zaidi ya vile vilivyopita hapo nyuma!
Paul, tatu asithubutu kumwamini yeyote awaye baada ya fursa ya kiuongozi aliyoipata kwa mara nyingine.
Mwisho ( na si kwa u-muhimu ), Paul ni lazima alipe kisasi cha haja na kuwatenga mbali watesi wake ili kuwanyima wasaa wanao weza kuutumia kumwangamiza kwa ukaribu alio nao sasa.
Na mzunguko wa pili asipojipanga tunaongeza zile mbili tulizokosa kwa uzembe zinakuwa saba. na yeye hapati hata moja. mmmkeH
Hiyo ni mojawapo ya kanuni za kwenye siasa... ukipata fursa ya kumtandika opponent wako unamtandika kisawa sawa asiweze amka tena. Kama vile Yanga FC ilivyo mtandika Simba FC 5G.
Watu huwa hawakufuatilii humu,Alishasema hatalipa Kisasi, muwe mnaelewa!
unasema 5G haijatosha, mbona hata China hawajafika 7G, una harakia nini?Na mzunguko wa pili asipojipanga tunaongeza zile mbili tulizokosa kwa uzembe zinakuwa saba. na yeye hapati hata moja. mmmke
Badili Paul weka Daudi Bashite ... By the way amlipizie kisasi nani na kwa nini? The other way could be trueKwanza ieleweke, kisasi ni haki!
Kwa namna Paul alivyotengwa na kunangwa, kutwezwa na hata kusilibiwa na mahasimu wake kipindi alipokuwa hana kazi ni wazi kama lipo kosa atalitenda ni kutolipa kisasi kwalo.
Paul, kwanza anapaswa aelewe watesi wake walianza kumtafutia namna ya kummaliza tena tokea waliposikia tetesi ya kurejeshwa kwake.
Paul, pili atambue vita vimhusuzo sasa ni zaidi ya vile vilivyopita hapo nyuma!
Paul, tatu asithubutu kumwamini yeyote awaye baada ya fursa ya kiuongozi aliyoipata kwa mara nyingine.
Mwisho ( na si kwa u-muhimu ), Paul ni lazima alipe kisasi cha haja na kuwatenga mbali watesi wake ili kuwanyima wasaa wanao weza kuutumia kumwangamiza kwa ukaribu alio nao sasa.
IKULU IMEGEUKA PANGO LA WAHUNI CHINI YA SAA MIA MOJA MBOVU ...Aanze na nape ndo aliyehonga pesa ili makonda apelekwe mahakamani kama sio kupotezwa kabisa
Tunataka waendelee kupanic mpaka wabadilishe timu jina.unasema 5G haijatosha, mbona hata China hawajafika 7G, una harakia nini?