Kitendo cha Makonda kutoa hotuba yeye vitisho dhidi ya mawaziri maRC, maDC na maDED leo hii ktk mapokezi yake ni sawa na kuifunga milago ya ufanisi ktk kazi ya uenezi.
Vitisho hivi vimetafsiriwa na wengi kana kwamba Makonda bado anasumbulowa na kiburi yes ueuri na ulevi wa madraka.
Ukimsikiliza kwa makini ktk moja ya matamshi yake pia amemuagiza mpk mhe rais (bosi wake) ampatie mafuta ya chopa kamanda Mbowe. Hiki ni kiburi.
Na zaidi ya yote yeye anadhani ukaribu uenezi wa ccm¹ ni kuwashambulia Mbowe na Lisu.
Kauli hii ya kifehuli itazuia ushirikiano toka kwa viongozi hawa kwenda kwa Makonda.
Vitisho hivi vimetafsiriwa na wengi kana kwamba Makonda bado anasumbulowa na kiburi yes ueuri na ulevi wa madraka.
Ukimsikiliza kwa makini ktk moja ya matamshi yake pia amemuagiza mpk mhe rais (bosi wake) ampatie mafuta ya chopa kamanda Mbowe. Hiki ni kiburi.
Na zaidi ya yote yeye anadhani ukaribu uenezi wa ccm¹ ni kuwashambulia Mbowe na Lisu.
Kauli hii ya kifehuli itazuia ushirikiano toka kwa viongozi hawa kwenda kwa Makonda.