Kosa kubwa la kiufundi alilofanya Paul Makonda leo

Kosa kubwa la kiufundi alilofanya Paul Makonda leo

Nafikiri anaona kateuliwa kwa kufanya anavyotaka
Kama amepewa wadhifa huu atoe amri na kupata Baraka zote afanye analotaka sawa maana wao ndio wamempa šŸŽ¤ acha aitumie hata akiwang'ata wao watajua wenyewe
 
Kitendo cha Makomda kutoa hotuba yeye vitisho dhidi ya mawaziri maRC, maDC na maDED leo hii ktk mapokezi yake ni sawa na kuifunga milago ya ufanisi ktk kazi ya uenezi.

Vitisho hivi vimetafsiriwa na wengi kana kwamba Makonda bado anasumbulowa na kiburi yes ueuri na ulevi wa madraka.

Ukimsikiliza kwa makini ktk moja ya matamshi yake pia amemuagiza mpk mhe rais (bosi wake) ampatie mafuta ya chopa kamanda Mbowe. Hiki ni kiburi.

Kauli hii ya kifehuli itazuia ushirikiano toka kwa viongozi hawa kwenda kwa Makonda.
Sijawahi kupanda mtumbwi ulio tobolewa, Swali fikirishi mtumbwi ukitobolewa nani anapona kati ya abilia ama dereva wa mtumbwi, (mpiga kafia)
 
Kitendo cha Makomda kutoa hotuba yeye vitisho dhidi ya mawaziri maRC, maDC na maDED leo hii ktk mapokezi yake ni sawa na kuifunga milago ya ufanisi ktk kazi ya uenezi.

Vitisho hivi vimetafsiriwa na wengi kana kwamba Makonda bado anasumbulowa na kiburi yes ueuri na ulevi wa madraka.

Ukimsikiliza kwa makini ktk moja ya matamshi yake pia amemuagiza mpk mhe rais (bosi wake) ampatie mafuta ya chopa kamanda Mbowe. Hiki ni kiburi.

Kauli hii ya kifehuli itazuia ushirikiano toka kwa viongozi hawa kwenda kwa Makonda.

Ni sahihi kabisa na najaribu kupiga bongo kama kweli makeke anayokuja nayo atadumu kwa muda mrefu katika nafasi hiyo! Yaliyompata Sophia Mjema yataibukia kwake soon!
 
Mtu anayekufa siku zote huwa hajui. Ccm inakufa na haijui. Mwaka 2014, K/ mwenezi alikuwa Nape na Katibu mkuu Kinana.
Kinana alitaja orodha ya mawaziri mizigo zaidi ya saba, mmojawapo Prof. Maghembe na awamu ya tano pamoja na kutajwa ndiye aliyekuwa Waziri wa utalii wa kwanza wa JPM.
Ukichanganyikiwa unaweza fanya chochote, kwani huyu mama aliyekuwepo alikuwa na vigezo gani vya kupewa hiyo nafasi? Ni kweli ccm ilijiridhisha kuwa Mh.Mjema anaweza hiyo nafasi!! Sasa hawa waliompa Makonda ndio hao hao wanasema Makonda anafaa. Makonda hana tofauti na Muimba taarabu, na ushahidi ni alivyoanza leo. Yaani target yake kubwa ni Mbowe Wala siyo Chadema.
Makonda siyo mwanasiasa anachoweza ni utawala tena wa mabavu na kusaidiwa, kama alivyosaidiwa na Magufuli kwa kupewa majambazi wa kutembea naye,maana haingii akilini na hatutaki kuamini kuwa wale aliongozana nao kwenda cloud kufutilia flash ya umbea ni askari wetu kweli!!
Bila Magufuli Makonda alipata wapi mamlaka ya kumtishia/kumuamrisha IGP Siro!! Kwamba leo usikue Chalamila anamfokea Wambura!! Bila Samia kuwa nyuma yake!!
Tunachoomba mama Samia asivuruge utawala wa sheria na haki kwa kuiga mambo ya mtangulizi wake japo aliwahi kusema wao na Magu ni kitu kimoja.
 
Kitendo cha Makonda kutoa hotuba yeye vitisho dhidi ya mawaziri maRC, maDC na maDED leo hii ktk mapokezi yake ni sawa na kuifunga milago ya ufanisi ktk kazi ya uenezi.

Vitisho hivi vimetafsiriwa na wengi kana kwamba Makonda bado anasumbulowa na kiburi yes ueuri na ulevi wa madraka.

Ukimsikiliza kwa makini ktk moja ya matamshi yake pia amemuagiza mpk mhe rais (bosi wake) ampatie mafuta ya chopa kamanda Mbowe. Hiki ni kiburi.

Na zaidi ya yote yeye anadhani ukaribu uenezi wa ccm¹ ni kuwashambulia Mbowe na Lisu.

Kauli hii ya kifehuli itazuia ushirikiano toka kwa viongozi hawa kwenda kwa Makonda.
Tunakuonea HURUMA unalialia sana ,utakuwa baridi tu.
 
Hotuba ya Makonda imenyooka, hongera sanaa. Makonda yupo hapo kimkakati kuwanyoosha Mbowe. Lissu na Lema wanaojifanya wao ndiyo wajuaji wa kila jambo la nchi hii. Makonda gear uliyoingia nayo leo mpaka 2025 tuone ka ma Chadomo mtafurukuta
1698899424331.jpg
 
Back
Top Bottom