Kosa la Adolph Hitler la Septemba mosi 1939 linataka kurudiwa na Vladimir Putin

Us alipoingia Libya, Iraq, Afghan na kuua mamilion ya watu ilikua sawa?
 
Wamarekani/Wazungu hawana ubavu wa kuingia vitani na Warusi.

Sanasana watamwekea vikwazo vya kiuchumi tu na mwisho wataufyata.

After all Warusi hawawategemei sana Wamarekani/Wazungu.

Kwahiyo Warusi wameupiga mwingi.
 
Hao wayahudi wako bila mbeleko ya huyo tapeli marekani wana nini?!

Au na wewe ni mmoja wa wanaoamini kuwa hawa matapeli wanaojiita wayahudi ndilo lile tunalosoma kwenye Biblia kama taifa teule la Mungu?
Dunia inaangalia mchango wako ni upi. Substance ya kwako ni ipi. Myahudi anao mchango kuanzia masuala ya teknolojia mpaka yale ya muziki.

Kulialia tu na kulalamika ni sifa ya mwafrika, ambaye siku zote anahisi kuwa anaonewa, ukiwa na mchango katika uhai hutalia kuonewa, unachokichangia ndio kitakachokupa heshima.
 
Hayo maneno yamezoeleka kwa wakongwe.Walianza chawa wa Saddam kupiga kelele na kujidai USA hawezi kuwafanya lolote.
Wakafuata vimbwenerehi wa Afghanistan huku wakiwa na magobole yao milimani Torabora na Kandahar.Mwishowe walitoa mlio wa huzuni.
Fact. Hao warusi wa mtogole wenyewe ni kushabikia uongo tu. Utasikia hapo USA hagusi. Lakini ikianza wanaanza kulialia tu oooh...! Anaonea tu.
 
Biden kila akipiga calculations za siasa USA, mahesabu yanakataa kabisa kuzama mazima kwny huu mgogoro, anajua akifanya mahesabu vibaya uchaguzi ujao anangolewa mapema sana, tofauti na Putin ambaye kwa sasa hana msukumo huo, ndiyo maana kashatia miguu kabisa. Kwhy Biden ni kuchgua aingie mazima au aendelee na danadana ili abaki madarakani.
 
CcDotworld
 
Russia hawezi kupigwa na NATO hata siku moja uliona alivyoliokota jimbo la Crimea ?
 
Last time i checked crimea was part of ukraine.


Ila huyuhuyu Putin aliichukua na Us wakaingia mitini.
 
Marekani haitegemei maamuzi ya mtu mmoja haswa yale maamuzi yanayolenga masirahi mapana ya taifa.

Ambacho wengi hamkijui ni kuwa hakuna nchi inayopenda vita kati ya hizo zote na zaidi marekani,maana marekani siku zote hayupo kwaajili ya hasara isipokuwa faida tu!. Vita ni hasara na kwasasa ukiingia vitani na taifa kubwa Kama Russia haitakuwa Vita ya kizembe hata Kama utashinda vita hiyo ila utatoka ukiwa kilema!.

Marekani anauhasama na mataifa mengi so kuingia vitani ni sawa na kuwapa cheko adui zake wajiunge na wamtifue!..

Hao wanaoshabikia uyahudi waache kushikwa akili kijinga hivyo!,achaneni na propaganda za myahudi ametapakaa damu tupu so siamini taifa la Mungu linaweza kutapakaa damu kiasi hiki,imani ni ugonjwa Tena ni ugonjwa zaidi usipojua imani yako ipoje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…