Us alipoingia Libya, Iraq, Afghan na kuua mamilion ya watu ilikua sawa?Mkuu Rais wa Ukraine ni myahudi. Kumbuka hawa watu waliuliwa zaidi ya milioni moja kule Poland hivyo tangu wakati huo wana umoja wa ajabu.
Kuvamia nchi nyingine kwa sababu zisizoingia kichwani ni ngumu sana. Ni kweli si Saddam lakini udikteta wa Hitler kwa karne hakuna atakayeuvumilia.
Mimi wala siamini kama tatizo la Putin ni Ukraine. US wanapolia kuwa Russia inaingilia chaguzi zao ni kupitia njia kama hizi...Putin angeachana na Ukraine.
..Ukraine hawaungi mkono kuwa chini ya Russia.
Sisi hao [emoji23][emoji119] walete chokochoko waoneMmeshachukua majimbo sio[emoji23][emoji23][emoji23].
Hawa wapuuzi hawawezi kujibu hiiUs alipoingia Libya, Iraq, Afghan na kuua mamilion ya watu ilikua sawa?
Sometimes Jf kuna arguments za kitoto sanaHao wayahudi wako bila mbeleko ya huyo tapeli marekani wana nini?!
Au na wewe ni mmoja wa wanaoamini kuwa hawa matapeli wanaojiita wayahudi ndilo lile tunalosoma kwenye Biblia kama taifa teule la Mungu?
Mrusi wa igundumbi naona umepanick mzeeNdio hivyo tena, majimbo tushachukua kwanguvu na hamuwezi kufanya kitu na wambieni hao wapuuzi wenu wasogeze pua waone kitakachowapata
Dunia inaangalia mchango wako ni upi. Substance ya kwako ni ipi. Myahudi anao mchango kuanzia masuala ya teknolojia mpaka yale ya muziki.Hao wayahudi wako bila mbeleko ya huyo tapeli marekani wana nini?!
Au na wewe ni mmoja wa wanaoamini kuwa hawa matapeli wanaojiita wayahudi ndilo lile tunalosoma kwenye Biblia kama taifa teule la Mungu?
Fact. Hao warusi wa mtogole wenyewe ni kushabikia uongo tu. Utasikia hapo USA hagusi. Lakini ikianza wanaanza kulialia tu oooh...! Anaonea tu.Hayo maneno yamezoeleka kwa wakongwe.Walianza chawa wa Saddam kupiga kelele na kujidai USA hawezi kuwafanya lolote.
Wakafuata vimbwenerehi wa Afghanistan huku wakiwa na magobole yao milimani Torabora na Kandahar.Mwishowe walitoa mlio wa huzuni.
CcDotworldWanasiasa hufanya makosa mengi sana wakiwa madarakani. Wanapoyafanya huwa hawana uwezo wa kupima ukubwa na madhara ya wanachokusudia kukifanya. Ni pale wanapokuwa wanapokea lawama nyingi ndio hujisumbua kuangalia kwa kina namna ambavyo wangeweza kuzuia kile walichokifanya, wangefanya hivi na wakafanya vile ndio huwa ni wazo lililochelewa wakati wake. Wanapokuwa wakiamua kufanya maamuzi yanayoongozwa na upofu au ulevi wa madaraka huwa wamezungukwa na wapambe wanaosema kitu wanachotaka kukisikia. Wao kuwa na maamuzi ya mwisho wakati mwingine huwanyima ile busara ya kuwa mawazo yao sio kila wakati huwa ndio ya kutekelezwa na yakaja na jibu lililokusudiwa na lenye faida.
Rais wa Russia Vladmir Putin anataka kufanya kosa litakalompa umaarufu mbovu kama ule aliokuwa nao Adolph Hitler mwaka 1939. Putin anataka kufanya kosa kama lile alilolifanya Idd Amin mwaka 1978 kwa kuivamia sehemu ya mkoa wa Kagera, kipigo alichokipata kilimpoteza kabisa miongoni mwa viongozi wa mataifa waliostahili heshima kila walipokatiza. Putin ameiangalia Ukraine katika udogo wake kwa kuilinganisha na Russia hivyo anaamini kwamba anaweza kufanya lolote na dunia ya sasa ikatulia tu na kumtazama. Kitakachompata kitakuwa ni fedheha kama ile iliyomkuta Hitler ambaye aliishia kujinyonga baada ya vita kumalizika akiwa ameshindwa vibaya.
Anatakiwa kukumbushwa kuwa Volodymyr Zelensky licha ya kuwa ni rais wa Ukraine taifa huru lenye maamuzi huru kama ilivyo Russia pia ni myahudi. Kwa asili ya wayahudi huwa ni watu wenye mtandao ulio hai na makini siku zote. Wayahudi wanajuana popote walipo, na mwanasiasa ambaye hata kama upande wa Mama ndio wayahudi huwa wanamchukulia kama ni mtoto wao. Wayahudi wanalinda ushawishi walionao duniani kote. Na ni rahisi kwao kumpachika jina la 'anti semitic' yoyote yule anayekwenda kinyume na falsafa zao au anayewakejeli.
Sembuse maamuzi ya Putin kuivamia nchi huru ya Ukraine inayoongozwa na myahudi mwenzao!!. Putin anakosa washauri wenye kutazama mbali, wenye ushawishi wa kidunia. Atumie busara sana kwani anachofikiria dhidi ya Ukraine kinaweza kumpoteza kabisa na yale yote aliyokwisha kuyafanya tangu 1999 alipoanza kuongoza Russia yakafunikwa na huu 'ujinga' anaouwazia kwa sauti ya juu.
Ulimwengu wa 1939 wakati Hitler akiivamia Austria sio huu wa 2022. Zimetungwa sheria nyingi za kimataifa zinazolinda uhuru wa kila taifa. Wamezaliwa wanasiasa wenye maarifa mazito ya kuongoza. Sayansi haijabaki nyuma zimeundwa silaha za hatari zenye kuweza kuangamiza kila kilichopo juu ya uso wa dunia ndani ya saa chache tu. Anaumizwa sana na ushawishi wa USA kwa jirani yake wa karibu, lakini nguvu nyingi hutumiwa na mwenye maarifa madogo ya uongozi.
Ukraine itaendelea kumegwa kidogo kidogo na Urusi mpaka itaishaaNdio hivyo tena, majimbo tushachukua kwanguvu na hamuwezi kufanya kitu na wambieni hao wapuuzi wenu wasogeze pua waone kitakachowapata
Last time i checked crimea was part of ukraine.Mkuu Rais wa Ukraine ni myahudi. Kumbuka hawa watu waliuliwa zaidi ya milioni moja kule Poland hivyo tangu wakati huo wana umoja wa ajabu.
Kuvamia nchi nyingine kwa sababu zisizoingia kichwani ni ngumu sana. Ni kweli si Saddam lakini udikteta wa Hitler kwa karne hakuna atakayeuvumilia.
Na hata sasa atachukua hilo jimbo la Lohansk na hakuna watakachomfanyaLast i checked crimea was part of ukraine.
Ila huyuhuyu Putin aliichukua na Us wakaingia mitini.
Ndio hao ambao Putin anataka kuwatibua, watamgeuka.Hivi mleta mada unahisi Russia hakuna wayahudi ?
Roman abromovich ni myahudi kama hujui, na wote hao ni team Putin
Ukraine ni nchi huru it is a sovereign state, halitakwenda Russia kirahisi tu.Na hata sasa atachukua hilo jimbo la Lohansk na hakuna watakachomfanya
Marekani haitegemei maamuzi ya mtu mmoja haswa yale maamuzi yanayolenga masirahi mapana ya taifa.Biden kila akipiga calculations za siasa USA, mahesabu yanakataa kabisa kuzama mazima kwny huu mgogoro, anajua akifanya mahesabu vibaya uchaguzi ujao anangolewa mapema sana, tofauti na Putin ambaye kwa sasa hana msukumo huo, ndiyo maana kashatia miguu kabisa. Kwhy Biden ni kuchgua aingie mazima au aendelee na danadana ili abaki madarakani.
Kwa ujumla siasa za ki communist kama hii ya kwetu Tanganyika, kuivamia nchi nyingine kwa sababu yoyote haina mashiko.Ndio hao ambao Putin anataka kuwatibua, watamgeuka.