STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
Amalizane na Ayatullah kwanza [emoji23][emoji16][emoji16]kama yeye anajihisi ni Super power, asiende kwa mrusi wala China, aende akalenge hata risasi Tehran [emoji1787]aoneFact. Hao warusi wa mtogole wenyewe ni kushabikia uongo tu. Utasikia hapo USA hagusi. Lakini ikianza wanaanza kulialia tu oooh...! Anaonea tu.