Kosa la chasambi tumeliona game nzuri tumeshuhudia ila Mpanzu ni habari nyingine

Kosa la chasambi tumeliona game nzuri tumeshuhudia ila Mpanzu ni habari nyingine

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Hiyo dabi yanga wajipange mpanzu anapasua vichaka jamaa ni mwepesi sana anapiga ma-uturn ya kiulaya yale mapasi kama wenzie watamuelewa vyema tegemeeni Yanga kufa goli nyingi hata kama Refa atakuwa Ramadhani Kayoko au Hersi Saidi.....

kifupi Mpanzu hakupaswa kucheza kwenye hii ligi dhaifu ya bongo...maana anakupa maudambwi udambwi kiukweli jana tumeshuhudia ball la viwango ukiondoa kosa la Chasambi mechi ile sio ya bahasha wala mipango!
 
Sema pengo la kibu nalo limeonekana aise, mawinga pekee wanaofaa kuanza first eleven ni mpanzu na kibu, chasambi anatakiwa aendelee kutokea bench kwanza
 
Mpanzu na Kibu ni wazuri sana timu ikiwa inacheza mpira wa kasi na kushambulia mda wote..Lakini kwa mpira wanaocheza sasa simba wa back pass nyingi wanaonekana hawana maajabu yoyote vingenevyo simba iachane na mpira wa back pass hawaonekani kabisa wakitafuta ushindi wa magoli mengi..siku simba wakianza kucheza mpira wa kasi na kushambulia hao kibu,mpanzu na kapombe watatisha sana ila ndio hivyo timu sikio la kufa kwa mi back pass
 
Hiyo dabi yanga wajipange mpanzu anapasua vichaka jamaa ni mwepesi sana anapiga ma-uturn ya kiulaya yale mapasi kama wenzie watamuelewa vyema tegemeeni Yanga kufa goli nyingi hata kama Refa atakuwa Ramadhani Kayoko au Hersi Saidi.....

kifupi Mpanzu hakupaswa kucheza kwenye hii ligi dhaifu ya bongo...maana anakupa maudambwi dambwi kiukweli jana tumeshuhudia ball la viwango ukiondoa kosa la Chasambi mechi ile sio ya bahasha wala mipango!
Hauwezi kucheza Ligi unamuwaza Yanga Tu ,kuna vizingiti vingine hujavuka
 
Mpanzu ni habari ingine mbumbumbu fc ikicheza na underdog ngoja uone derby akiwekwa kwenye mfuko wa shati na koplo baka, wewe mwenyewe utamfurusha kurudi Goma kwa m23!
Mbeleko fc hamna kitu mark my words!
 
Sema pengo la kibu nalo limeonekana aise, mawinga pekee wanaofaa kuanza first eleven ni mpanzu na kibu, chasambi anatakiwa aendelee kutokea bench kwanza
Huwa wanamdharau kibu, but honest kwa sasa ana offer something different kule mbele, ana fanya mabeki wa timu pinzani wawe busy

Jana halikuonekana saaana, zaidi ya mpanzu tu
 
Mpanzu na Kibu ni wazuri sana timu ikiwa inacheza mpira wa kasi na kushambulia mda wote..Lakini kwa mpira wanaocheza sasa simba wa back pass nyingi wanaonekana hawana maajabu yoyote vingenevyo simba iachane na mpira wa back pass hawaonekani kabisa wakitafuta ushindi wa magoli mengi..siku simba wakianza kucheza mpira wa kasi na kushambulia hao kibu,mpanzu na kapombe watatisha sana ila ndio hivyo timu sikio la kufa kwa mi back pass
Ni kweli kabisa mpanzu anaonekana anapenda na anauweza mpira wa pasi za haraka kukimbia weka kwenye njia,sasa shida wachezaji wengine badala ya kumrudishia pasi anazotoa wao wanapooza na kurudisha nyuma,
Kibu dennis akitulia atakula assist nyingi sana za magoli kutoka kwa mpanzu
 
Hiyo dabi yanga wajipange mpanzu anapasua vichaka jamaa ni mwepesi sana anapiga ma-uturn ya kiulaya yale mapasi kama wenzie watamuelewa vyema tegemeeni Yanga kufa goli nyingi hata kama Refa atakuwa Ramadhani Kayoko au Hersi Saidi.....

kifupi Mpanzu hakupaswa kucheza kwenye hii ligi dhaifu ya bongo...maana anakupa maudambwi dambwi kiukweli jana tumeshuhudia ball la viwango ukiondoa kosa la Chasambi mechi ile sio ya bahasha wala mipango!
Amefunga goli ngapi uyo mpanzu wako unayemsifia,,kashindwa kufunga kwenye mechi nyepesi anaruka ruka kama bisi ndio aifungue yanga ambayo aitompa hata nafasi ya kukaa na Mpira dk 1?
 
Hiyo dabi yanga wajipange mpanzu anapasua vichaka jamaa ni mwepesi sana anapiga ma-uturn ya kiulaya yale mapasi kama wenzie watamuelewa vyema tegemeeni Yanga kufa goli nyingi hata kama Refa atakuwa Ramadhani Kayoko au Hersi Saidi.....

kifupi Mpanzu hakupaswa kucheza kwenye hii ligi dhaifu ya bongo...maana anakupa maudambwi dambwi kiukweli jana tumeshuhudia ball la viwango ukiondoa kosa la Chasambi mechi ile sio ya bahasha wala mipango!
Mpanzu takatak tu yule!hamna mchezaji pale dada angu kipara kipya
 
Amefunga goli ngapi uyo mpanzu wako unayemsifia,,kashindwa kufunga kwenye mechi nyepesi anaruka ruka kama bisi ndio aifungue yanga ambayo aitompa hata nafasi ya kukaa na Mpira dk 1?
Tuombe uzima kwa mwenyezi Mungu!
 
Back
Top Bottom