Goofy_
Member
- Mar 7, 2024
- 79
- 253
Wampe ugeni rasmi kabisaMpanzu ni habari ingine mbumbumbu fc ikicheza na underdog ngoja uone derby akiwekwa kwenye mfuko wa shati na koplo baka, wewe mwenyewe utamfurusha kurudi Goma kwa m23!
Mbeleko fc hamna kitu mark my words!