Kosa langu hapa lipo wapi?

Nyumba ya vyumba 2 alafu unaenda kukopa godoro πŸ˜†
Unajua tukiwa nyuma ya keyboard muda mwingine tunasahau uongo tulioandikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sasa unakua na nyumba ya vyumba viwili alafu godoro huna dah si mtihani huoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na kama godoro hana inamaana hata vyombo vya muhimu ndani hakua navyo sababu za kuchukua vyumba viwili ni nn
 
Bla bla bla tu huku tukisubiri uefa ianze hamna namna πŸ˜„
 
Sawa mimi sijaingilia ila nimejaribu kumtafakarisha yupo Dar mda sana af isitoshe ana miaka mingi sana tangu yupo Dar ilo ndio limeniuma
Linakuuma wewe kama nani? Afu we jamaa ni msela mavi una kiherehere wewe ungevunga au ungetumia njia ya usahihi kufikisha ujumbe kuliko kujifanya.....we unajua mipango yake ni ipi? Umefeli kaka
 
Huyu ndugu anafikiri mtu kua serikalini basi kashampangia matumizi na mapato ,pasipo kujua hazina ya jamaa na maono yake.....na kingine kuna baadhi ya watu serikalin huficha sana amana zao.....kwa sababu ya vitochi ka mtoa mada....ila aniwie radhi
 
Usishangae kesho anakuja humu jf anaomba msaada mwenye connection ya kazi ili aweze kujitegemea

Ahahhah mbona mimi sijaongelea kuhusu kazi kaka mtu kuomba connection ya kazi mbaya? Je kama namtafutia
Mdogo wangu au nataka kuacha kazi? Tisa yote kumi kila mtu ana maisha yake
 

Unge soma vizuri nilisema nilianza hivyo up tu now sijasema nimeanza jua kutofautisha
 

Ahahahha sikuwaza ivyo
 

Ukisema et unaambiwa mwana mkuda sana
 
Ujuaji kwenye maisha ya watu. Huwezi jua kaamua kufocus kwenye jambo gani.
Huenda kaamulia kuvumilia ana jambo lake. unaweza shangaa anakuja kuamia kwake mjengo mpya na kila kitu kipya.

anaenda na begi la nguo tu.
 
Ujuaji kwenye maisha ya watu. Huwezi jua kaamua kufocus kwenye jambo gani.

Saw miak tano sijui kumi tangu apangiwe kazi yupo hapa dar akitoka kaenda uko machame kusalimia ana back uzembee
 

Kaa mbali na mtu asiyekuwa na maono, pia usingemshauri maana hayo ni mambo yake, mimi hata sijui kama kuna baso kitanda cha 4x6 kwa mtu mzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…