Kosa langu ni kuamua kuishi maisha yangu

Kosa langu ni kuamua kuishi maisha yangu

Subiri uugue uone hao kijiji cha tatu kama watachukua bicycle kuja kukuuguza au kukusaidia!
Kiufupi ishi na ndugu zako kiupendo pamoja na makandokando yao usiwatenge hata wakikutenga. Wajenge, waunge na wasaidie pia kuna siku watajirekebisha labda kama ni wachawi.
Comments yakarne hii mkuu kongole sana.nilichogundua wachangiaji wengi wanadhani yakua undugu nihiari bali undugu niwajibu,Hatukuomba kuzaliwa ktk familia au ukoo flani bali tumejikuta tu-sehemu yao hivyo niwajibu wetu kushiriki shuguli za ki-ndugu hata kama kuna makandokando kiasi gani kwani kuna siku utawahitaji hata kama uko busy naratiba zako kiasi gani.kama vile kufiwa ww nahao unaowaita watu wako(mkeo,mmeo,mtoto),kuugua au kupata ajali,uzee,kufilisika(usizani wao ndio wanafilisika tu),kupoteza kazi inayokupa kiburi(hapa nnamifano yandugu waliokua busy naratiba zao sahiz upepo hauko upande wao).kiufupi hii dunia nikuvumiliana tu ,unaweza sema unakomaa na mzazi wako tu lkn kumbuka huyo mzazi hajakuzaa pekeyako ,utakutana nandugu zako hapo ili mjadili namna ya kumlea mzazi wenu,utakutana na akina baba mdogo au mmaamkubwa sijui shangazi ambao huyo mzazi wako wao wanamutia mdogo wao,utakwepea wapi ktk circle hyo,zaidi ww ndio utakua unajikomba kwao tu.pengne hata huyo mzazi anaweza akakutaa pia utafanya nn???
 
Subiri uugue uone hao kijiji cha tatu kama watachukua bicycle kuja kukuuguza au kukusaidia!
Kiufupi ishi na ndugu zako kiupendo pamoja na makandokando yao usiwatenge hata wakikutenga. Wajenge, waunge na wasaidie pia kuna siku watajirekebisha labda kama ni wachawi.
Ndugu noma, siku ukiugua mahututi ndio utamjua Nani ni ndugu yako wa kweli na nani ni mnafki na nani ni unamuona km ndugu yako kumbe ndio mchawi wako
 
Na hizi boda boda tunazopandaga kila kukicha aisee, ni muhimu kuwa na watu kwakweli. Siku umelazwa unakatwa mguu kitandani huna hata la kufanya. Utalia kwa uchungu mno.
Noma sana Ila kwa Mimi naona mtu Baki ni ndugu Bora zaidi kuliko ndugu wa damu, km ukifikwa na madhira umepatwa na maradhi hoi kitandani ndugu pekee atakae umia na wewe na kulia na wewe ni baba na mama yako, km huna basi kuna mtu Baki atakua na wewe na kulia na wewe ila sio ndugu wa damu
 
Noma sana Ila kwa Mimi naona mtu Baki ni ndugu Bora zaidi kuliko ndugu wa damu, km ukifikwa na madhira umepatwa na maradhi hoi kitandani ndugu pekee atakae umia na wewe na kulia na wewe ni baba na mama yako, km huna basi kuna mtu Baki atakua na wewe na kulia na wewe ila sio ndugu wa damu
Inategemea mmelelewa vipi, kama hamkuwa na unity toka mnakuwa hamuwezi kuwa na unity ukubwani
 
Ushamba tu unawasumbuaga [emoji3]
Asilimia kubwa sana ya maisha ya kiafrica ni extended,wengi tumetokea sio tu kwa baba na mama ila hata wazazi wetu pia kwa namna moja ama nyingine waliwategemea nduguzao na ktk malezi yako wanakuambia kabisa hata kmaa nimekufa wajali wadogo zako au waheshimu nduguzako,usijifungie tu ww namkeo nawano tu,wakimaanisha haya maisha kuna nyakati kazi yako inayokupa ugali,mkeo unaelala nae kitanda kimoja au mmeo,wanao waliotoka ktk kiuno chako mwenyewe wanaweza wakawa ndio mwiba au mbigili ktk maisha yao.tumeona wangapi mke akiwashawishi watoto aukusagia kunguni kwa watoto wake mwisho wasiku ukubwani watoto hawajali kabisa juu yako ww baba naumewaza mwenyewe???tuache ubinafsi ukipata share nanduguzako, nduguzako hao Mungu ndio aliokukutanisha nao ktk uso wadunia niwajibu wako kuwahudumia maana hata ww watakuhudumia ktk nyakati ambazo hutatarajia kua wanahitajika(we are Africans lets not be too westernezed).
 
Noma sana Ila kwa Mimi naona mtu Baki ni ndugu Bora zaidi kuliko ndugu wa damu, km ukifikwa na madhira umepatwa na maradhi hoi kitandani ndugu pekee atakae umia na wewe na kulia na wewe ni baba na mama yako, km huna basi kuna mtu Baki atakua na wewe na kulia na wewe ila sio ndugu wa damu
Watu wengine wana fikiri wa kipata madhira ndo watasaidiwa na ndungu hiyo assumption sio kweli,
watu wengi wametelekezwa na ndgu zao hospitalini, wana saidiwa na majirani na watu baki. Ni uongo ndugu hawezi kua kama bima ya matatizo yako ya mbeleni, ndugu zetu wa kiafrica ni shida kubwa ku wafurahisha sio rahisi, ndugu wengi ni wanafiki ndo chanzo cha matatizo, wengine mpaka wana kuroga pamoja na watoto wako, usifanye ndugu kua tegemeo lako la mbeleni utafeili maisha.........ndugu ni sumu ni wachache tu wasio kua na fitina na wenye mapenzi ya dhati, kwandugu zao.
 
Ghafla umelazwa, kisanga hua kinaanzia hapo aibu
Hadi hao mashosti cjui marafiki wakti huo wanaanza kukuuliza kwani nduguzako umewapigia??? wanasemaje ktk hili??yaani hao marafiki unaowapa kiapumbele wanatambua uwepo wa ndugu.
 
Na hizi boda boda tunazopandaga kila kukicha aisee, ni muhimu kuwa na watu kwakweli. Siku umelazwa unakatwa mguu kitandani huna hata la kufanya. Utalia kwa uchungu mno.
Nahapo mke ulienae yuko busy namichepuko naww uko kitandani umekatwa mguu,nawanao amewaambia ukome maana ulizidi ujeuri, wkt huo unamiaka miwili haujawasiliana kwa kitu chochote na nduguzako au umewatukana kwakua hautaki shobo nao.
 
Hadi hao mashosti cjui marafiki wakti huo wanaanza kukuuliza kwani nduguzako umewapigia??? wanasemaje ktk hili??yaani hao marafiki unaowapa kiapumbele wanatambua uwepo wa ndugu.
Usilazimishe kua na urafiki na ndugu, utashindwa maisha, kwani tunaungua kila siku au kila mwezi ni dharula tu, ndugu wengi wanapenda ukua masikini ndo waonyesha upendo, kosa kuwazidi mali au cheo, utabakiza mama na baba ako tu.
 
Noma sana Ila kwa Mimi naona mtu Baki ni ndugu Bora zaidi kuliko ndugu wa damu, km ukifikwa na madhira umepatwa na maradhi hoi kitandani ndugu pekee atakae umia na wewe na kulia na wewe ni baba na mama yako, km huna basi kuna mtu Baki atakua na wewe na kulia na wewe ila sio ndugu wa damu
Inategemea naww unaishi nao vipi mkuu kama ww ni aina ya watu ambao ni ,,ilive my life ,i mind my own business,sitaki shobo namtu sijui nn,inamaanisha nduguzako watakua washakuogopa washakutoa ktk circle yao.kama ilivyo kwa mzazi kumlaani tu mtoto mkaidi asiyesikiliza mashauri yake.
 
Hadi hao mashosti cjui marafiki wakti huo wanaanza kukuuliza kwani nduguzako umewapigia??? wanasemaje ktk hili??yaani hao marafiki unaowapa kiapumbele wanatambua uwepo wa ndugu.
Niliwahi kuugua nikiwa mkoani Mbeya ambako nilikua sina ndugu sina jamaa, ila watu nilioishi nao karibu watu Baki ndio walionipa msaada walitenga mda wao kuja kunitembelea hospital na kuhakikisha napata kupona na narudi uraiani, kwa hio najua thamani ya kuishi na watu Baki wao waliniuliza kuhusu wazazi nikawapa namba ya Mzee wangu akaongea nao basi wao wakasimamia kila kitu nikapigwa x-ray hadi natoka hospital wao ndio walinisimamia mazoezi hadi napona, watu Baki hawakua marafiki Ila ni watu wenye moyo wa kujitoa kwa ajili ya wengine,
 
Back
Top Bottom