Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nNdio tabu za kuolewa na vivulana
Yatakuwa mashindano sasa!Pole sana...
Nawe let's ndugu zako... Tena wakiume...
Akili itamkaa sawaYatakuwa mashindano sasa!
Wewe hujui chochote!!..watu walianza maisha wanalala chini!!..Mama akija nae analala chini!!.. unadhani kuoa ni kugegeda tu!!..Chumba kimoja kinaweza kulaza wewe na mkeo pamoja na wazazi wako pia mtoto akapata nafasi hapo hapo!!..Kwaiyo akikutembelea ndo alale hapo ??
Yaan wewe na mke wako mmelala kitandani alafu Mama yako naye amejikunja chini hapo, ukimshika tako mkeo bi mdashi anajifunika uso [emoji23][emoji23][emoji23]
Jacquiline hivi wewe Mwanamke una akili timamu kweli?? umeamua kunianika humu ili iweje sasa? umeshindwa hata kuniita tuyamalize? mbaya zaidi unatumia jina lako halisi!! Nilisha gundua kitambo humu JF ni memba japo ulikataa! umo humu kitambo!Aisee aikwambie mtu kosea kuchagua nguo, utabadilisha, kosea rafiki utawapotezea lakini usikosee mume. Ukikosea mwanaume wa kuolewa nae tu, umekosea kila kitu.
Kikweli wanaume wa siku hizi, hawana uchungu hata kidogo na familia zao.
Utakuta mume ana mke na watoto lakini Bado
Huu ujumbe wako uwekewe na lamination kabisaKosea yote usikosee mke wa kuowa
Mfano tu uyu mtoa mada wengine wazazi wetu especially mama wameishi kwa shidah sana ili tusome tufanikiwe leo unafanikiwa unataka wew uishi vzr kabla ya yeye.ujui mama kapigana Vita gani na mimi.mama mzazi anastaili raha zote kabla ya kupata raha wew mke
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Kmeumana kma n kweli maan wabongo htushindwi kujiita mme wa Jacky hta htumjui anyway ngoja nkae pembeni[emoji3571][emoji3571][emoji3571]Jacquiline hivi wewe Mwanamke una akili timamu kweli?? umeamua kunianika humu ili iweje sasa? umeshindwa hata kuniita tuyamalize? mbaya zaidi unatumia jina lako halisi!! Nilisha gundua kitambo humu JF ni memba japo ulikataa! umo humu kitambo!
siku ile amekuja babako kutoka Kenya, uliingia bafuni ukaacha simu yako wazi, nikaingia n so ikajua hii avatar yako usibishe huyu ni wewe tu! mbona ndugu zako wanakuja? wanafanya watakavyo? najua unataka kuniendesha na hii ni tabia ya mama yako mzazi !!
Umenistua kidogo ujue!!! yaani km mulemule! Daaa una akilisana wewe!Kmeumana kma n kweli maan wabongo htushindwi kujiita mme wa Jacky hta htumjui anyway ngoja nkae pembeni[emoji3571][emoji3571][emoji3571]