nduza
JF-Expert Member
- Feb 7, 2019
- 1,595
- 2,503
Aliyekwambia Mwinyi karukwa na kumbukumbu naniHujamuona Mahita na Mboma. Hkunaga mbabe juu ya umri. Huoni Mzee Mwinyi hadi kumnukumbu zinamruka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyekwambia Mwinyi karukwa na kumbukumbu naniHujamuona Mahita na Mboma. Hkunaga mbabe juu ya umri. Huoni Mzee Mwinyi hadi kumnukumbu zinamruka
Hawa hawana njaa kwa sababu wengi wao walishajenga na kuwekeza tokea wakiwa makazini,so mtu anakula penncheni tu hana wasiwasi.Hivi unafahamu stahiki za Commissioner wa Polisi mstaafu wewe? Kitu pekee ambacho kinaweza kumpa msongo ni madaraka tuu lakini sio fedha.
Kuna ile kupiga na kusepa, baada ya hapo hakuna mawasilianoHuyu Mzee mpaka leo siamini mtu akiniambia yeye na msanii shetta siyo mtu na babaake
Yani wamefanana km korosho asee