Kova ndiyo kachoka namna hii?

Kova ndiyo kachoka namna hii?

Mzee wa Intelegensia aliye chukua kijiti toka kwa polisi nambari moja Tanzania mh. Tibaigana.
Huyu wa Sasa mhh utadhani Rama K
 
haya
images%20(16).jpg
 
Kova akihojiwa na clouds FM mwishoni mwaka jana anadai akiwapigia simu wenzake aliwaacha central na wizara ya mambo ya ndani hawapokei simu yake nakubaki kushangaa.

Ila si alikuwaga na kampuni yake ya ulinzi? Kama hakutumia fursa ya kupiga imekula kwake.
Hahaha alianzisha ka NGO flani ka kutoa elimu khs mambo ya kupambana Na majanga(elimu khs Moto,uogeleaji) etc. Lkn sijui kalifia wapi hako ka NGO.
 
Kova akihojiwa na clouds FM mwishoni mwaka jana anadai akiwapigia simu wenzake aliwaacha central na wizara ya mambo ya ndani hawapokei simu yake nakubaki kushangaa.

Ila si alikuwaga na kampuni yake ya ulinzi? Kama hakutumia fursa ya kupiga imekula kwake.
Aiseeee !!!
 
Kova akihojiwa na clouds FM mwishoni mwaka jana anadai akiwapigia simu wenzake aliwaacha central na wizara ya mambo ya ndani hawapokei simu yake nakubaki kushangaa.

Ila si alikuwaga na kampuni yake ya ulinzi? Kama hakutumia fursa ya kupiga imekula kwake.
Hawana ujanja wa kuishi nje ya ofisi,vingi bure.
 
kwani yeye alipokuwa madarakani akipigiwa simu alikuwa anapokea? kwanza simu za nini?ukishaondoka ndio kwa heri aende tu kwao Kondoa akalime mbaazi, kila kitabu na zama zake,huu ni usumbufu wenzake wako kazini yeye anapiga simu za porojo akiwa sebuleni kwake kapumzika ilihali wenzake wapo kazini.
Wewe ni mmoja wa askari asiyepokea simu inayopigwa na askari mwenzenu mstaafu bwan Kova?
 
Kova akihojiwa na clouds FM mwishoni mwaka jana anadai akiwapigia simu wenzake aliwaacha central na wizara ya mambo ya ndani hawapokei simu yake nakubaki kushangaa.

Ila si alikuwaga na kampuni yake ya ulinzi? Kama hakutumia fursa ya kupiga imekula kwake.
Mmh yuko vizuri huyu frm kamanda

Niamini nachokwambia

Ova
 
Back
Top Bottom