nduza JF-Expert Member Joined Feb 7, 2019 Posts 1,595 Reaction score 2,503 May 4, 2022 #81 Ng'wanamangilingili said: Hujamuona Mahita na Mboma. Hkunaga mbabe juu ya umri. Huoni Mzee Mwinyi hadi kumnukumbu zinamruka Click to expand... Aliyekwambia Mwinyi karukwa na kumbukumbu nani
Ng'wanamangilingili said: Hujamuona Mahita na Mboma. Hkunaga mbabe juu ya umri. Huoni Mzee Mwinyi hadi kumnukumbu zinamruka Click to expand... Aliyekwambia Mwinyi karukwa na kumbukumbu nani
safuher JF-Expert Member Joined Feb 11, 2019 Posts 11,837 Reaction score 17,412 May 4, 2022 #82 Mulokozijr12 said: Hivi unafahamu stahiki za Commissioner wa Polisi mstaafu wewe? Kitu pekee ambacho kinaweza kumpa msongo ni madaraka tuu lakini sio fedha. Click to expand... Hawa hawana njaa kwa sababu wengi wao walishajenga na kuwekeza tokea wakiwa makazini,so mtu anakula penncheni tu hana wasiwasi. Hawa stress zao ni power hawana tena. Itabidi akienda kijiweni awe peke yake,hana bodyguard kama zamani anakuwa kama mnyonge wa mungu
Mulokozijr12 said: Hivi unafahamu stahiki za Commissioner wa Polisi mstaafu wewe? Kitu pekee ambacho kinaweza kumpa msongo ni madaraka tuu lakini sio fedha. Click to expand... Hawa hawana njaa kwa sababu wengi wao walishajenga na kuwekeza tokea wakiwa makazini,so mtu anakula penncheni tu hana wasiwasi. Hawa stress zao ni power hawana tena. Itabidi akienda kijiweni awe peke yake,hana bodyguard kama zamani anakuwa kama mnyonge wa mungu
Lucha JF-Expert Member Joined Aug 24, 2018 Posts 14,516 Reaction score 50,658 May 4, 2022 #83 Mzee kapendeza na Yuko fiti na ukitaka kujua Yuko fiti weka picha yake na ya baba yako ndo utajua nani kachoka na ni nini maana ya kuchoka
Mzee kapendeza na Yuko fiti na ukitaka kujua Yuko fiti weka picha yake na ya baba yako ndo utajua nani kachoka na ni nini maana ya kuchoka
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 May 4, 2022 #84 Mambo yake muachie mwenyewe...
mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 31,415 Reaction score 38,761 May 6, 2022 #85 mtoa mada una ushambenga sana.
pandagichiza JF-Expert Member Joined Jul 9, 2013 Posts 5,248 Reaction score 3,663 May 6, 2022 #86 Satoh Hirosh said: Huyu Mzee mpaka leo siamini mtu akiniambia yeye na msanii shetta siyo mtu na babaake Yani wamefanana km korosho asee Click to expand... Kuna ile kupiga na kusepa, baada ya hapo hakuna mawasiliano
Satoh Hirosh said: Huyu Mzee mpaka leo siamini mtu akiniambia yeye na msanii shetta siyo mtu na babaake Yani wamefanana km korosho asee Click to expand... Kuna ile kupiga na kusepa, baada ya hapo hakuna mawasiliano