Song il gok
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 878
- 938
Ukiingia kwenye FMCG hutajuta mkuu ,yaani kazi nje nje kwenye industry ya FMCG km umesoma PR & MARKETING, kazi kwako tu .nashukuru sana kiongozi nipo kwenye microfinance naona kuna yumba natafuta sehemu nyingine
Kazi zpo nyng kwa hyo kozi nimemwmbia atulie mwaka huu naweza kugombea nitamtafuta aandae speech za mheshimiwa. 🤣 🤣 🤣 🤣Ukiingia kwenye FMCG hutajuta mkuu ,yaani kazi nje nje kwenye industry ya FMCG km umesoma PR & MARKETING, kazi kwako tu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Utapoteza pesa zako bureeee!
Kozi nzuri Sana ila kuajiriwa uwe na network lakini Kuna wigo wa kujiajiri saaaaaana kuliko kozi nyingi...Ohoo! Nimepanga kuchukua hii kozi ya Wildlife tourism management pale MWEKA 2020....
Wakuu hapa vipi au napotea ??
hahahaaaaa nakuombea mkuu🤣🤣🤣Kazi zpo nyng kwa hyo kozi nimemwmbia atulie mwaka huu naweza kugombea nitamtafuta aandae speech za mheshimiwa. 🤣 🤣 🤣 🤣
kiongozi embu nipe long form ya hio kituUkiingia kwenye FMCG hutajuta mkuu ,yaani kazi nje nje kwenye industry ya FMCG km umesoma PR & MARKETING, kazi kwako tu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi hapa Environmental Engineering mkuuTaja kozi uliyosoma mm nitakupa proffesional short courses zake
Siku hizi nako imekuwa yeboyebo watu kibao wapo mtaaniIvi IT nayo inakuwaje kwenye categories gani inalipa information technology sector?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kajudanganya bongo akuna mtaalam wake yupo profesa Arusha tena hana miaka 40 bado young na moja ya project yake ni kutengeneza NANO FILTER kwaajili ya kuchuja maji ya kazikazini kutoa fluoride &phosphate, virus and bacteria, fluoride ambayo ilikuwa inawa affect mifupa na meno kupata kutu watu wa kazikazini na huyu jamaa anaoffice yake arushaKabla sijafa nataka nisome master nyngn ya Nano Technology Engineering,hii kozi bongo hakuna kabisa na wala hakuna mtaaram wa hii kitu kwa ss labda miaka 100 ijayo.
Nano engineers hawa ndio wale wanaotengeneza biological and chemical weapons,bullet proof na kuna kitu inaitwa nano medicine hii ni balaa tupu hapa unakutana na nano robots ambazo utumwa kwny mwili wa binadamu kuzi repair cell zilizokufa hz robots zinafny kazi km antibodies.
Shule tamu sana ndio maana wasomi wng masikini kwa utamu wa shule. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Nampata huyo jamaa very well anaitwa Mr.Askwar Hilonga yule amesoma Chemistry ana PhD sio Nano Engineering,ila kwny Chemistry kuna udambwi dambwi wa nano Technology so sishangai .Nani kajudanganya bongo akuna mtaalam wake yupo profesa Arusha tena hana miaka 40 bado young na moja ya project yake ni kutengeneza NANO FILTER kwaajili ya kuchuja maji ya kazikazini kutoa fluorine ambayo ilikuwa inawa affect mifupa na meno kupata kutu watu wa kazikazini na huyu jamaa anaoffice yake arusha
Naelewa kuhusu Nano coz nimesoma kidogo ilikuwa kama kachumbari kwenye kozi niliyosoma na huyu Mr nilivyoambiwa na lecture ambaye ni rafiki yake alisema kuwa jamaa amesoma Masters degree ya nano kbs na after hapo akafanya project ambayo ndio ikapelekea kupata uproffesa mapesa akiwa bado young.Nampata huyo jamaa very well anaitwa Mr.Askwar Hilonga yule amesoma Chemistry ana PhD sio Nano Engineering,ila kwny Chemistry kuna udambwi dambwi wa nano Technology so sishangai .
Hiyo Nano Engineering ni jiwe kama jiwe lenyewe linajitegemea ndio maana jamaa kagusa kidogo Tu Nano Technology imemtoa je angegoga jiwe kabisa PhD ingekuwaje.
Watu wa Nano ndio wanatengeneza mpaka Corona na Mazombi ni watu hatari sana.
Ukifuatilia science fiction movies ndio utawaelewa Nano Engineers vizuri kwamba ni watu gani!!
Nano Engineering ni balaa jingine!Naelewa kuhusu Nano coz nimesoma kidogo ilikuwa kama kachumbari kwenye kozi niliyosoma na huyu Mr nilivyoambiwa na lecture ambaye ni rafiki yake alisema kuwa jamaa amesoma Masters degree ya nano kbs na after hapo akafanya project ambayo ndio ikapelekea kupata uproffesa mapesa akiwa bado young.
Pia hata mm niko interested na mambo ya nano, wanasema NANO is new science na endapo ikiwa applicable 100% all scientist wanatakiwa kurudi shule kwani hii science ya sasa hitakuwa ime expire
Ameandika articles zaidi ya 30 za Nano,ila ni mkemia.Naelewa kuhusu Nano coz nimesoma kidogo ilikuwa kama kachumbari kwenye kozi niliyosoma na huyu Mr nilivyoambiwa na lecture ambaye ni rafiki yake alisema kuwa jamaa amesoma Masters degree ya nano kbs na after hapo akafanya project ambayo ndio ikapelekea kupata uproffesa mapesa akiwa bado young.
Pia hata mm niko interested na mambo ya nano, wanasema NANO is new science na endapo ikiwa applicable 100% all scientist wanatakiwa kurudi shule kwani hii science ya sasa hitakuwa ime expire
OK nimekupata vyema basi kuna some wrong information nilimezeshwa kuhusu huyu mtu...Nano Engineering ni balaa jingine!View attachment 1381951
Km ulivyoongea imebd nikalili,kauli yako "Nano ni sayansi mpya".OK nimekupata vyema basi kuna some wrong information nilimezeshwa kuhusu huyu mtu...
Pia inaonekana ww ni mkemia,au Degree yako ya kwaza ni ya chemistry
Kuna dogo ana Bachelor ya Computer science nataka Masters akapige hiyo course. Chuo kipi ni kizuri kwa hiyo course ?Nampata huyo jamaa very well anaitwa Mr.Askwar Hilonga yule amesoma Chemistry ana PhD sio Nano Engineering,ila kwny Chemistry kuna udambwi dambwi wa nano Technology so sishangai .
Hiyo Nano Engineering ni jiwe kama jiwe lenyewe linajitegemea ndio maana jamaa kagusa kidogo tu Nano Technology imemtoa je angegoga jiwe kabisa PhD ingekuwaje.
Watu wa Nano ndio wanatengeneza mpaka Corona na Mazombi kuna kozi inaitwa Nano Medicine ni watu hatari sana.
Ukifuatilia science fiction movies ndio utawaelewa Nano Engineers vizuri kwamba ni watu gani!!