TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Turudi kwenye maada ya uzi jamaani,kuna mtu kanifuata PM anadai nimepoteza uelekeo wa uzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesomea Masters in Atomic Engineering nje ya nchi kule Pakistani.
Binafsi nina ujuzi wa kutengeneza mpaka mabomu ya atomic na nishati ya atomic ila nipo kitaa nimetulia napiga udalali ,kupata kazi labda niende Marekani au Iran.
Nangoja siku Tanzania tutakapoanza tengeneza umeme wa uranium hapo ndio utaona Magufuli au rais ajaye ananipigia sim moja kwa moja nakula kitengo cha mabomu na umeme.
Wenye ujuzi huu kwa Tanzania tupo wawili tu mm na jamaa yangu na wote tupo kitaa hatuna habari .
Mkuu kwahiyo ni bora zaidi MBAKama pesa ipo afanye MBA ada yake haijachangamka sana imaanzia 3.5M na mda ni chini ya miaka 2.
Uko serious? ?samahani kaka kwa usumbufu mimi nimesomea mambo ya pr and marketing ivi kazi zake ni masuala ya uandishi wa habari tu?
HahahahaNilishaacha kufikilia kuajiriwa kabisa baada ya kukaa sana mtaani ,ss nawaza kuendesha biashara binafsi na kuingia katika siasa ,ajira haina pesa ninayoitaka.
Nimeona Siasa ni fursa natafuta mtaji nigombee ubunge au udiwani wa CCM ila kuongea sijuhi watanisamehe nitaajiri mtu wa PR kuniandalia speech.
Zote bora ila anza MBA kama haujasoma Account ukishapata kazi ss mshahara wa pili ule,unaanza CPA ukimaliza hiyo CPA nenda kagonge ACCA .Mkuu kwahiyo ni bora zaidi MBA
kuliko CPA na ACCA??
Usitake nikurudishe shule form one B somo la chemistry!
Toa tofauti kati ya Atom na Nuclear?.
Tufanye tupo wa tatu na ww!hata kama ni atomic engineering ww umejuaje kama mpo wawili ina maana unajuana na wasomi wote wa Tanzania tangu mwaka 1940?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajiandae kula shavu!Hahahaha
Mmoja wapo ni huyo aliyekuuliza swali,akutafute muyapange
Ukishamaliza chuo unajisajili na Board ya wahandisi (ERB) wanaweka kumbukumbu zao kwamba Tanzania tuna ma engineer wangapi na wa level gani inafahamika.hata kama ni atomic engineering ww umejuaje kama mpo wawili ina maana unajuana na wasomi wote wa Tanzania tangu mwaka 1940?
Sent using Jamii Forums mobile app
kwanini unauliza hivyo kiongozi?Uko serious? ?
Yaani ndugu yangu sio umri tu, hadi watu wa uhandisi walikuwepo wakawa wanatimuliwaVp
Vp kwny interview hakuna waliopika umri??
Tafuta professional certificate kama za Intel Mixrosoft Ibm GoogleNina degree yangu ya telecom ipo kabatini tu haina kazi.
Sijakuelewa kwa nn walitimuliwa??Yaani ndugu yangu sio umri tu, hadi watu wa uhandisi walikuwepo wakawa wanatimuliwa
Waliihitajika madaktari tuSijakuelewa kwa nn walitimuliwa??
HahahahahahaTufanye tupo wa tatu na ww!
Atakuwa alikuwa anatembea na fundi huyo ndipo alipojifunzia asitudanganye alijifunza mwenyewe something fishy 😏una hatari wewe umeme wa kumfungia mtu bila ya kujua Watts, Volts, current, ampere, Gang, switch, switch socket, circut breaker, main switch lazima hiyo nyumba ingelipuka.
Kuna mahali mpaka wire ya earth inabeba moto kwenye 2way gang nk
ngumu kumeza, Darasa ni muhimu hata km sio VETA unafundishwa na mwenzako ukajua madhara ya kupigwa shot, madhara ya vifaa km vitabeba watts, ikiwemo pass, jiko, redio tv heater nk
Huo ulimwengu wa Cyber Security bado hatujafika boss ndio kwanza tunajikongoja maswala ya data protection,computer frauds,spams,cyber crimes,cyber attack ndio tumeanza kuyatungia sheria miaka ya hivi karibuni baada ya mheshimiwa rais kuuona umuhimu wake ,ndio maana bado serikali inasisitiza kusajili kwa Alama za vidole,wakati nchi nyngn utaratibu huo ulishazoeleka.BsC. In Cyber security, its marketable ila kwa bongo haipo labda nchi jirani (Kenya)
Sent using Jamii Forums mobile app