Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

Nilichek Tangazo la mwaka wa jana umri usiozidi miaka 35 ni kwa wenye PhD ,Masters ilikuwa 32 ,Bachelor 25 kama sikosei wenye kumbukumbu nzuri watanisahihisha.

Hapo kwenye swala la umri jeshi ndio linapokatisha tamaa,japo nimeona watu wanapika umri mtu miaka 33 anakamata cheti cha miaka 28 ss sijuhi huko mbele mbele kwny interview inakuwaje???
Ila inaweza tokea kama kuna uhaba mkubwa wa fani husika na za kipekee ukiwa na sifa za ziada ila sio kwa udaktari maana mwaka juzi Mgulani kwenye interview walikuwa watu wa MD nyomi
 
Kozi ya urais naona hii kozi ngumu sanaa kila anaeisoma hatamani kuendelea nayo mara nyingi husema kazi hii ni ngumu mnoo mniombee hii kozi huenda ikawa kozi ngumu sana kuliko kozi zote

mwanabhonga
 
Microfinance wale kwa uelewa wangu hawana tofauti saaana na watu wa finance hapo unalazimika kujua Financial Management Tools (eg Excel,Power Point,Quick Book,SAP, BR net,Tally etc).

Kama unataka kufanya kazi kwny ma bank kachukue Banking Certificate I &II then kuna kitu inaitwa Certified Proffessional Banker (CPB).

Kama unataka kujiweka kwny nafasi nzuri ya ajira nenda kagonge MBA ,CPA(T) au ACCA.

Umeshindwa kabisa kasome hata ka Certificate cha sheria bila shaka ni mwaka mmoja,maana kuna kazi za Microfinance zinahitaji mtu mwny ujuzi wa sheria maana kudeal na wadaiwa legal matters zinahusika,mtu ambaye ni mdaiwa sugu (Bad Debtor) mahakama inamuhusu.
asante sana kiongozi kuna mdogo wangu apa nitampa ushauri huu naamini utamsaidia
 
Ila inaweza tokea kama kuna uhaba mkubwa wa fani husika na za kipekee ukiwa na sifa za ziada ila sio kwa udaktari maana mwaka juzi Mgulani kwenye interview walikuwa watu wa MD nyomi
Vipi kwenye interview hakuna waliopika umri??
 
Nina degree yangu ya telecom ipo kabatini tu haina kazi.
Telcom nakushauri uanze kutafuta Kampuni za minara zipo nyingi sana kuna kaka zako walimaliza UDSM Telcom miaka ya nyuma sana walishafunguaga hzo kampuni na wanafanya kazi kama Sub Contractors km ulisoma UDSM ni rahisi sana kuwaingia kaombe kujitolea ,wao hawana noma ni masela sana hata km unajitolea watakulipa viposho vidogo vidogo,ila ni kazi za msimu sana coz tender zinakuja kwa kusua sua.
 
Hiv ccna na ccnp ni sh ngapi? Nawaza kujisomea tu mwenyewe home nilipie hio mitihani nifanye!
Hizo ni Cisco Certified Network Associate (CCNA) na Cisco Certified Network Proffessional (CCNP) wenzako wanasomaga mapema wakati wapo chuo.Nenda pale UDSM /UCC wanatoa hizo kozi watakupa na bei zao au tembelea website zao.

Maana naweza nikakupa bei za mwaka 2000 hapa ukakalili.
 
Hizo ni Cisco Certified Network Associate (CCNA) na Cisco Certified Network Proffessional (CCNP) wenzako wanasomaga mapema wakati wapo chuo.Nenda pale UDSM /UCC wanatoa hizo kozi watakupa na bei zao au tembelea website zao.

Maana naweza nikakupa bei za mwaka 2000 hapa ukakalili.
samahani kaka kwa usumbufu mimi nimesomea mambo ya pr and marketing ivi kazi zake ni masuala ya uandishi wa habari tu?
 
TheDreamer Thebeliever,
Acha kumdanganya mwenzako ajaze mavyeti ndani, unadhani huko NEMC kuna kazi kama usemavyo? hao ajira zao zinapitia psrs na si vinginevyo
 
Kuna mwanangu kasoma Bachelor of Arts in geography and environmental studies Udsm alijua atapata shavu NEMC had saiv yupo anapambana 2 kitaaa hamda direction yoyote.nomasana
Jina lingine wanaiita BAGEs.Hii ni hatari sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom