Tajiri Mapesa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2020
- 707
- 728
Hahahaaaaaaaa,🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 kama yanachekesha vile.
Ila mm ss hv mtu akiniuliza nimshauri chuo cha kusoma,nitamwambie haende ThT (Tanzania House of Talent).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaaaaaa,🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 kama yanachekesha vile.
Ila mm ss hv mtu akiniuliza nimshauri chuo cha kusoma,nitamwambie haende ThT (Tanzania House of Talent).
Huyo alisomea VETA useremalaOhhhh...
Minadhani tungeanza na wewe ili thread ikae vizuri.
Story tu hizo. Tunatumia fake ID ... i might be lying now, i might have lied then. Beauty of it all you'll never know for certain [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo zenji huku wanipiga hela chafu mkuu. Maisha hayana formula. I know a girl who was working as a house keeper in a hotel and then got in a relationship na mzungu, kaolewa official marriage sasa hivi ni boss wa hotel hiyo wacha kabisawale wa Tourism Management, Wildlife Management, Nature conservation, Forest mbona siwaoni kulia lia
cc: Mshana JrKuna nchi niliishi hapa Africa nikakuta wana mtaara unaotoa "Bachelor of Science in Witchcraft "yaani mambo ya uganga na uchawi na ukienda hospital zao kuna hicho kitengo kama ugonjwa umeshindkana hospital kuna wodi ya waliorogwa .
Ushawai kuwaza kitu kama hicho kipo duniani??
Serikali ingebidi iongeze huu mtaara kama vp wafute baadhi ya kozi waongeze hii itakuwa na soko sana mtu anaweza hata kujiajiri kirahisi.
Kumbe ndio sababu amekuwa fundi mzuri wa kutengeneza majeneza...teh[emoji23]
Madogo saivi wakiniomba ushauri nawaambia watafute skill ( ushonaji, baking, design, decorating etc) ila maswala ya vyeti simshauri mtoto wa mtu.[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] kama yanachekesha vile.
Ila mm ss hv mtu akiniuliza nimshauri chuo cha kusoma,nitamwambie haende ThT (Tanzania House of Talent).
Hhhhaa hamna. Watu inabidi waelewe huhitaji degree tu kutoka kimaisha lazima ujiongezeSister umeamua kumlipua mfamasia
Kuna waliosomea kozi za afya nao wanalia lia tu. Wala usijute sana.Banking!
Kuna mtu alinishauri nisome kozi za afya nikamuona ananichukulia poa ila natamani ningemkumbuka ni nani ili nirudi nikamlambe miguu kwa kupuuzia ushauri wake wenye tija!
Ukimshauri kuhusu vyeti utamlaza na njaa bure,mm mwenyewe nataka ni test bongo movie na masters yng,ikikataa naamia kwny bongo fleva nayo ikigoma naenda kwny ujumbe wa nyumba kumi.Madogo saivi wakiniomba ushauri nawaambia watafute skill ( ushonaji, baking, design, decorating etc) ila maswala ya vyeti simshauri mtoto wa mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyinyi anzisheni thread yenu huko ,waambie na wale wa Zoom,Amazon hapa hapawausu (utani tu),unakaribishwa kuchangia🤣 🤣Na wale tuliosoma Njuweni, The Green College, DSJ, tunaruhusiwa kuchangia!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kingwa si kasema siasa kwake ni fursa. Inabidi vijana tujiongezeUkimshauri kuhusu vyeti utamlaza na njaa bure,mm mwenyewe nataka ni test bongo movie na masters yng,ikikataa naamia kwny bongo fleva nayo ikigoma naenda kwny ujumbe wa nyumba kumi.
Siasa nayo inachangamoto,mtaa ninaoishi cheo cha ujumbe wa nyumba kumi mzee mmoja kakishikilia miaka 30 mpk ss yy ndio mjumbe wa nyumba kumi watu wanamuogopa duuuh akipumzika anampa mwanawe harafu anakichukua anampa mkewe harafu anakichuku tena..
Kwny kozi za uhandisi niHakunaga kozi inaitwa Advocates . pia usikaririshwe maisha. Watu tumepiga art pure tangu o level mpaka chuo ,imetutoa maisha saana tu
Sent using Jamii Forums mobile app