Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

Kuna nchi niliishi hapa Africa nikakuta wana mtaara unaotoa "Bachelor of Science in Witchcraft "yaani mambo ya uganga na uchawi na ukienda hospital zao kuna hicho kitengo kama ugonjwa umeshindkana hospital kuna wodi ya waliorogwa .

Ushawai kuwaza kitu kama hicho kipo duniani??
Serikali ingebidi iongeze huu mtaara kama vp wafute baadhi ya kozi waongeze hii itakuwa na soko sana mtu anaweza hata kujiajiri kirahisi.
Hii course inatolewa wapi huko niende nikapate hayo maarifa ?
 
Ohoo! Nimepanga kuchukua hii kozi ya Wildlife tourism management pale MWEKA 2020....

Wakuu hapa vipi au napotea ??
 
Nimesomea Masters in Atomic Engineering nje ya nchi kule Pakistani.
Binafsi nina ujuzi wa kutengeneza mpaka mabomu ya atomic na nishati ya atomic ila nipo kitaa nimetulia napiga udalali ,kupata kazi labda niende Marekani au Iran.

Nangoja siku Tanzania tutakapoanza tengeneza umeme wa uranium hapo ndio utaona Magufuli au rais ajaye ananipigia sim moja kwa moja nakula kitengo cha mabomu na umeme.

Wenye ujuzi huu kwa Tanzania tupo wawili tu mm na jamaa yangu na wote tupo kitaa hatuna habari .
Muongeze na Ghalib bilal awe watatu nae kapiga mambo ya nuclear.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo nimekusoma..mana utajikita zaidi kwenye occupational health and safety ama..?

Na kuna shortcourses zinatolewa ESAMI hizo vipi unazipata vyema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Waajiri wa kampuni zenye tamaduni za kizungu wanataka mtu awe na cheti cha IOSH Managing Safely,NEBOSH(igc) au SAMTRAC mfano watu kama Yapi,Simba Cement,Barrick n.k .
Waajiri wa ndani wanataka huwe na NOSCH hivyo ni vyeti au kozi nani anazitoa doesn't matter mradi hawe accredited ku offer hiyo kozi.

Tafuta matangazo ya kazi za environmental utaona waajiri wameweka hivyo vyeti kama vigezo.
ESAMI sio cheti ni taasisi kama wanazo hzo kozi nenda kasome isipokuwa NOSCH pekee ndio inaatolewa ma serikali kupitia watu wa OSHA.
 
Hapo sasa ukienda kwenye ajira portal lazima ikuteme kama wameandika lab technician halafu umesoma chemistry wanakutema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo system imeanza siku hizi,now days hata nafasi ya dip unatoswa kama ww una bachelor yaani noma sana.
Ila hapo nimeongea kwa kampuni ambazo si za serikali unaomba wao wanaangalia skills tu.
 
Ohoo! Nimepanga kuchukua hii kozi ya Wildlife tourism management pale MWEKA 2020....

Wakuu hapa vipi au napotea ??
Kozi za Mweka zote zipo poa naona,Wildlife Management ipo bomba kabisa.Ila sijajua unaenda kusoma level gani??
 
Hii course inatolewa wapi huko niende nikapate hayo maarifa ?
Nchi nyingi za kusini mwa Africa zinatoa hiyo degree ila chuo ambacho kizuri sana ni "University of Macho " kipo Zambia .

Picha hapo chini ni mshikaji mwny masters ya Witchcraft yupo kazini ana kampuni yake kabisa.
_20200302_093900.JPG
 
Dah....Nina MSc (driving)....nilijua ningepata gari la masafa...lakini nimepata daladala ya Mwenge - Posta [emoji2960]

Sent using Beretta ARX 160
 
Zipo nyingi tu, ambazo hazina market mfano petroleum engineering, petroleum chemistry petroleum geology market iko wapi Tanzania.
Mzee yani kama wewe ni msomi wa hio fani na hata hujui market ya proffession yako basi wewe ni tatizo kubwa kuliko
 
Back
Top Bottom