Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

Banking!
Kuna mtu alinishauri nisome kozi za afya nikamuona ananichukulia poa ila natamani ningemkumbuka ni nani ili nirudi nikamlambe miguu kwa kupuuzia ushauri wake wenye tija!
Ulisoma banking pekee yake au?mbona navyojua course ya finance and banking,ukiwa na degree na ukapiga cpa yako hausumbuki sana
 
Hivi nikisema hapa Jf waanga wote wa ajira vigezo sharti huwe umekaa miaka isiyopungua 3 mtaani bila kazi.
Waanga 50 tuunganike tufungue kampuni ya Education Consultant .
Tunakuwa tunashauri wanafunzi kozi za kusoma,njia za kufanya ili wafauru,tunawafanyia application za shule , chuo,vile vile tuna act km parents au walezi wao kwa ku wacanceling ,kufuatia maendeleo yao shuleni na kuwapga tuitions.

vigezo

1.Unatakiwa huwe angalau na Bachelor degree
2.Mwnye miaka mingi kitaani anapewa kipaumbele


Wangapi watajitokeza???? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] (utani tu jamaani) huu ni upepo tu unapita jamani ila naamini kila mtu humu atapa ajira mda si mrefu.
Sasa we mwenyewe umedoda mtaani miaka mitatu utamtafutia nani kazi sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulingana na soko la ajira kwasasa lazima wasomi tuwe na target sana,maana ajira si kwamba hamna,zipo ila ni chache na hivyo wachache wenye potential skills zinazohitajika ndio wanaopata ajira,,ila pia kazi ni bahati ya mtu,

Unaweza ukasoma ukamaliza chuo ukashangaa umepata kazi mwenzako aliyekaa mtaani miaka mitano ukampita.maisha hayana formula..

Pia short course na kujiendeleza zinaongeza credit sana,

We umemaliza bachelor umekaa mtaani jichanganye ufanye vishort courses flan kama una nafasi,uone kama havikupi credit
images (4).jpeg
.
 
Kuna masters ya finance or accounting in criminology
Sijaona chuo cha tanzania kinachotoa,hii masters ina soko sana ila watu wengi hawajaijua.
Kwa mtu akiyemaliza bachelor ya uhasibu akapiga hii masters ana opportunity kubwa sana kupata kazi sehem tofauti bila shida..
 
Sio lazima inategemea na skills anazohitaji muajiri wako!
Uktaka kuomba kazi soma kwa umakini skills, knowledge na uzoefu anaoutaji muajiri kwny tangazo husika la kazi.
asante sana kiongozi maana nilikua nataka nipate picha tuu maana nimejishikiza sehemu, watu wengine ukiwaambia kuhusu hio kozi wanashangaa wanasema kupata kazi ni ngumu
 
Marketing ina soko...ajira zipo nyingi..ni wewe tu connection na kujichanganya..sijawahi ona mtu wa marketing analala njaa..lazima uwe mjanja.
nashukuru sana kiongozi nipo kwenye microfinance naona kuna yumba natafuta sehemu nyingine
 
Sasa we mwenyewe umedoda mtaani miaka mitatu utamtafutia nani kazi sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishaacha kufikilia kuajiriwa kabisa baada ya kukaa sana mtaani ,ss nawaza kuendesha biashara binafsi na kuingia katika siasa ,ajira haina pesa ninayoitaka.

Nimeona Siasa ni fursa natafuta mtaji nigombee ubunge au udiwani wa CCM ila kuongea sijuhi watanisamehe nitaajiri mtu wa PR kuniandalia speech.
 
nashukuru sana kiongozi nipo kwenye microfinance naona kuna yumba natafuta sehemu nyingine
Nafasi za kazi nyingi sana,tafuta connection utapata kazi,kwenye makampuni viwanda binafsi hutakosa kazi,
 
Nimesomea Masters in Atomic Engineering nje ya nchi kule Pakistani.
Binafsi nina ujuzi wa kutengeneza mpaka mabomu ya atomic na nishati ya atomic ila nipo kitaa nimetulia napiga udalali ,kupata kazi labda niende Marekani au Iran.

Nangoja siku Tanzania tutakapoanza tengeneza umeme wa uranium hapo ndio utaona Magufuli au rais ajaye ananipigia sim moja kwa moja nakula kitengo cha mabomu na umeme.

Wenye ujuzi huu kwa Tanzania tupo wawili tu mm na jamaa yangu na wote tupo kitaa hatuna habari .
ukisema mpo wawili hapo unatudanganya mkuu.
aliyekuwa principal wa Dar tech/DIT ni Proffessor wa Nuclear(Prof. Kondoro) na kwenye vikao vyote vya nchi vinavyohusu nuclear lazima awepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesomea Masters in Atomic Engineering nje ya nchi kule Pakistani.
Binafsi nina ujuzi wa kutengeneza mpaka mabomu ya atomic na nishati ya atomic ila nipo kitaa nimetulia napiga udalali ,kupata kazi labda niende Marekani au Iran.

Nangoja siku Tanzania tutakapoanza tengeneza umeme wa uranium hapo ndio utaona Magufuli au rais ajaye ananipigia sim moja kwa moja nakula kitengo cha mabomu na umeme.

Wenye ujuzi huu kwa Tanzania tupo wawili tu mm na jamaa yangu na wote tupo kitaa hatuna habari .
Why usiandike proposal mbalimbali mzee. Cheza na wizara ya nishati.
 
Why usiandike proposal mbalimbali mzee. Cheza na wizara ya nishati.
Kazi zipo zinafanyika ,ila ndio hvyo reserch zinaitaji pesa,ukideal sana na tafti ambazo hazijulikani lini zitaingiza hela wife anaweza hata kukukimbia,utaambiwa baba Ashibae huo mda unaokaa kufanya hayo mambo si bora ungefungua hata genge la nyanya 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom