Kuna jamaa yangu kasoma Bachelor fulani hivi, yaani hata wakitangaza nafasi za kazi hawajawahi kuitaja
Aaahh *****[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jf mnawaponza madogoMdogo wangu mimi hapa kaka ako ni Procurement Cordinator kwenye shirika flani la Kimataifa(INGO) Nakushauri life is too short. Nimepiga Public Admin, nikaja nikaweka na PGD ya procurement. Salary za kwenye NGOs zinajulikana. Ila kwa mwezi kwenye michakato ya hapa kule hapa kule naweka mpaka 45milion kwenye accounts. Jiongeze.
Ngoja waje watakushauri vizuriWazee natalia nkafanye environmental science vip hili licoz huko kitaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada njoo PM nikuulize jambo.
Maisha hayapo fair kila sehemu watu wanakaza!Nimecheka haahaa mpaka nimeisi Kuna mjumbe mtaani kwetu toka nipobgigoli mpaka Sasa nafanana na ile bar pendwa ya tabata
Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima kwako mkuu.Mdogo wangu mimi hapa kaka ako ni Procurement Cordinator kwenye shirika flani la Kimataifa(INGO) Nakushauri life is too short. Nimepiga Public Admin, nikaja nikaweka na PGD ya procurement. Salary za kwenye NGOs zinajulikana. Ila kwa mwezi kwenye michakato ya hapa kule hapa kule naweka mpaka 45milion kwenye accounts. Jiongeze.
Natamani ungejua procurement za kwenye NGOs zilivyo mdogo wangu..Aaahh *****[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jf mnawaponza madogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unamcheka sio??
Bro Mechanical eng hawezi fanya kazi ya Biomedical acha kupotosha Bora useme electrical engKazi za Biomedical Engineers hufanya yafuatayo:
1. Kudesign system na bidhaa, kama vile viungo vya ndani vya bandia, vifaa vya bandia ambavyo hubadilisha sehemu za mwili, na mashine za kugundua shida za matibabu.
2.Kurekebisha au kutoa msaada wa kiufundi kwa vifaa vya biomedical.
Kabla ya Kozi hii kutambulishwa na chuo cha Nelson Mandela Arusha miaka hii ya karibuni na kutoa wahitimu kazi hizi zilikuw zinafanywa na watu wa Mechanical na Electrical.
Kuajiri Biomedical engineer asiye na uzoefu kwenye hospital yako si bora kuajiri MEs au Electrical engineer atakupa options nyingi .Kibongo bongo pia Biomedical engineer labda kwny Biomedical equipments mambo ya internal organs bado sana.
Anaweza mkuu,Bro Mechanical eng hawezi fanya kazi ya Biomedical acha kupotosha Bora useme electrical eng
Hàkuna cha hot cake mzee watu hawapati taarifa sahihi tu wanarishwa matango pori tuIpo Tofauti kati ya Biomedical Engineering na Biomedical Equipment Engineering?
Maana DIT wanatoa Diploma ya Biomedical Equipment Engineering na kwa wanaosoma iyo course walimu wao wanaaambia ina fursa nyingi sana kwa ajira yani ni hotcakes kwa sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechanical wanasoma electronics?Anaweza mkuu,
We umesoma biomedical?Anaweza mkuu,
Sio lazima nisome biomedical ila mechanical anaweza kufanya kazi ya BiomedicalWe umesoma biomedical?
Biomedical Engineering: What is it and what are the career opportunities?Bro Mechanical eng hawezi fanya kazi ya Biomedical acha kupotosha Bora useme electrical eng
Kwan biomedical ni nini, biomedical lazima ichukue mechanical kidogo, electrical kidogo, biology kidogo, chemical kidogo, electronics kidogo, japo sijajua mtaala wa bongo ukoje lakini nchi za wenzetu ndio mtaala upo hivo, biomedical wabongo wengi ni warekebisha mashine za hospital ambazo zinaweza kurekebishwa na mechanical au electrical engineer pia. Lkini ukienda nje huko biomedical ana uwezo wa kuunda mashine zenyewe za hospitali ,viungo za vya bandia vya mwili, meno ya bandia
Umenena boss hata MTU wa Physics,electronics anaweza kufundishwa kazi za biomedical akawa biomedical engineer mzuri ndio maana nikasema haka ka Kozi kameanza juzi je kabla ya hapo nani alikuwa kama biomedical engineer hapa bongo??M
Kwan biomedical ni nini, biomedical lazima ichukue mechanical kidogo, electrical kidogo, biology kidogo, chemical kidogo, electronics kidogo, japo sijajua mtaala wa bongo ukoje lakini nchi za wenzetu ndio mtaala upo hivo, biomedical wabongo wengi ni warekebisha mashine za hospital ambazo zinaweza kurekebishwa na mechanical au electrical engineer pia. Lkini ukienda nje huko biomedical ana uwezo wa kuunda mashine zenyewe za hospitali ,viungo za vya bandia vya mwili, meno ya bandia