Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

B.a in Environmental economics and policy nilidhan nitafanya kazi NEMC kumbe hakuna hata ....
 
Bravoo
hapo hata mm nilikojifunzia, nyuma ya mzazi na mafundi wakija nyumbani
pigwa sana shot, nimeunguza bulb za watu, lkn uthubutu mpaka nikaaminiwa mtaani na ofisi za serikali
lkn moto mdogo sio ule wa Kilovolt
Huo moto mkubwa sigusi boss,nawaachie wenyewe!
 
B.a in Environmental economics and policy nilidhan nitafanya kazi NEMC kumbe hakuna hata ....
Ungesoma Environmental Science au Environmental Engineering.Kafanye masters ya Environmental & Occupational Health (EOH) pale Muhimbili kama vipi..!!
Au Fanya short kozi za NOSCH inatolewa na OSHA mwezi huu inaanza kwa DSM ada Tsh 560,000/= kama sijakosea ,IOSH Managing Safely ina gharimu £300 ,na NEBOSH (igc) ,SAMREC ya South Africa inatolewa na NOSA ukimaliza hizo coz NEMC watakuita wenyewe bila kutuma CV. 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Telecommunications Eng kwakwel hapana....ka degree kameisha vzr pale mlimani, ee game linanilazimu nisome tena CCNA, CCNP na ni mpunga mlefu balaa...ka sio ujinga ni nini huu




Sent using Jamii Forums mobile app
UDSM kuna sehemu walichemka sana ,yaani kuna kozi walizipunguza mfano unakuta coz ilikuwa inaitwa Telecommunication and Electrical Engineering wakavunja wakafanya ni kozi zinazojitegemea,wakati vyuo vingine unakuta Telecommunication and Electrical Engineering kozi moja mfano St.Joseph University na baadhi ya vyuo.

Ss kwny soko la ajira ww Telecom wa UDSM inakula kwako inabdi ungoje nafasi ya Telecom itangazwe ndio u apply yule wa Stj yeye anapiga miguu miwili akiona tangazo la electrical anaweka Telecom anatupia yaani anatema mate kushoto anafukia kulia kama Ronaldo vile.

Wanakwambia tunawapika ili muive kwenye hzo fani mwisho wa siku watu wa UDSM wanaivia mtaani baada ya kupikwa chuoni 🤣 🤣 🤣 🤣
Hapo juu ni mfano tu watu wasi koti vibaya tafadhali ndio maana nimeweka wino mwekundu .
 
Mpo wawili Tanzania ila mwenzako alishawahi kuwa waziri mkuu, pambana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani mkuu...
Unaposema mshahara mkubwa unamaanisha shngapi, na mshahara mdogo ni pesa ngapi..??

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena mishahara si midigo kihivyo na hao wala bata chuoni huwa hawatoki "from no where" na kulipwa mamilioni, hujenga career, hijinoa zaidi, husoma tena, na "kudeliva"
 
Mimi nishakulaga ajira kitaambo sema nataka ni apply awamu hii, nichukue mahusiano ya kimataifa.Ipoje hiyo wazee!

5/5
 
Mimi nishakulaga ajira kitaambo sema nataka ni apply awamu hii, nichukue mahusiano ya kimataifa.Ipoje hiyo wazee!

5/5
Level gani unataka kusoma??Pale CFR-Center for Foreign Relations wenyewe wanakiita chuo cha Diplomasia kipo kule Kurasini Dar Es Salaam karibu na ofisi za uhamiaji wao wanatoa kozi bora kabisa za jioni za mahusiano ya kimataifa.


Kama teyari ushaajiriwa hiyo kozi itakuwa bomba sana kwako ila km bado sikushauri,nenda kapige evening class .
(CFR njooni mnilipe hata ya soda nimewapigia promo teyari) 🤣 🤣 🤣
 
Usirogwe kwenda kozi za bachelor of science sijui in Biology, Chemistry nk utajuta labda uwe na connection kazi hizi hazieleweki hakuna kazi za jumla ni kugumia gumia tu ukikutana nazo haziko direct kama kazi zingine
 
Hapa kila mtu atasema course yake
 
Asante mkuu! Naenda level ya digrii ya kwanza.

5/5
 
Tena mishahara si midigo kihivyo na hao wala bata chuoni huwa hawatoki "from no where" na kulipwa mamilioni, hujenga career, hijinoa zaidi, husoma tena, na "kudeliva"
Sawa mkuu, yote uliyo yaandika ni sawa kabisa.
Hapa mimi swali langu ni... unapo sema mshahara mkubwa na mnono, hapo unamaanisha ni pesa ngapi ???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…