Kozi zitakazokuwezesha kujiunga kirahisi na JWTZ

[emoji38][emoji38] sema maisha ni fumbo gumu Sana, anyway vipi saizi mishe zimekaa fresh au BADO kitaa hakisomi
 
Yeah ni kweli kweli inashavu sana yeah unaweza kuwa rubani wa kumpaisha rais kwenda nchi mbalimbali na misele ya angani
 
Badala ya kuwaza kuwa waziri unawaza kuwa mwanajeshi daaaaaaa. Hii dunia ina mambooo kweli.
Huyo waziri lazima alindwe na askari kijana. Mwenyezi Mungu amempatia karama tofauti kila mmoja wetu, wote tukiwa mawaziri nani atailinda nchi yako dhidi ya uvamizi wa adui ? Nani atatibu wagonjwa ? Nani atakuwa raia ? N.k Ndio hivyo wewe unavyopenda uwaziri, wenzio wanapenda jeshi. Wengine wanapenda upadre, uchungaji n.k ndio mpango wa Mungu huu.
 
Jeshi halikaririki Mkuu..na Jeshi halina mtu muhimu..
 
Wapo mpaka maprofesa jeshini kijana, ni kawaida tuu. Jeshi limekuwa la kisasa linaenda na wakati.
uko sawa kabisa jeshini kuna wasomi walibobea kinyume na wanavyofikiri watu.Yuko mwanajeshi mmoja ni Professor,Dr Brigadier general Yadon ana taaluma ya udaktari.Hakuna taaluma uraiani jeshini haipo.Mnakumbuka muhimbili ma dr waligoma wanajeshi wakaenda kukamata usukani? mnakumbuka waongoza ndege airpot dar waligoma wanajeshi wakaenda kushikilia.Mnao dhani wanajeshi ni vilaza mnapotea sana.Hata Marekani wanaanga wengi wa NASA waliokwenda mwezini walikuwa ni wanajeshi.Pia gunduzi nyingi za kitabibu marekani zinafanywa na jeshi.Haa Lockheed Martin ina mkono wa jeshi
 
umemjibu hadi raha
 
Jeshi halikaririki Mkuu..na Jeshi halina mtu muhimu..
Linao watu muhimu ndugu, ndio maana wataalamu wanaohitajika huko huwa wanafanyiwa usaili wa kujiunga na JWTZ moja kwa moja. Hizo za kusema "jeshi halina watu muhimu" zinabaki kuwa siasa tuu za maneno, ila uhalisia ndio huo.
 
Linao watu muhimu ndugu, ndio maana wataalamu wanaohitajika huko huwa wanafanyiwa usaili wa kujiunga na JWTZ moja kwa moja. Hizo za kusema "jeshi halina watu muhimu" zinabaki kuwa siasa tuu za maneno, ila uhalisia ndio huo.
Nimekaa jkt miaka mitatu na ka bachelor kangu ka engineering lakini sijaambulia kitu aisee. In short jeshini sifa kushikwa mkono maana ajira zilipotolewa za wale jamaa waliojenga ikulu watoto wa wenye mibanga ndio walioongezewa kweny ajira bila kujali wew ni telecom eng. Civil eng. Comp eng. Software developer wala nn.
Inshort JKT to TPDF or to any defence organ, connection matters always, labda awamu hii mambo yabadilike ila Op mirerani daa tuliingia choo cha kike.
 
Linao watu muhimu ndugu, ndio maana wataalamu wanaohitajika huko huwa wanafanyiwa usaili wa kujiunga na JWTZ moja kwa moja. Hizo za kusema "jeshi halina watu muhimu" zinabaki kuwa siasa tuu za maneno, ila uhalisia ndio huo.
Haya wewe kariri tu kuwa jeshi lina mtu muhimu.
 
Acha uongo wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…