KQ departs with "45" passengers from Nairobi to NewYork

KQ departs with "45" passengers from Nairobi to NewYork

mulisaaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
6,969
Reaction score
7,027
The question is did they real plan for this route au wamekulupuka😂😂😂
Screenshot_20181103-133330.png
Screenshot_20181103-132949.png
Screenshot_20181103-133421.png
Screenshot_20181103-133405.png
 
No wonder when our sgr hit losses they were busy laughing,we are here waiting for you
 
mtz anaweza mwambia mtu nini kuhusu biashara...watu ni wavivu kupindukia..ndio flights zinaanza...market itakuja tu...nina uhakika kuwa kuna wamarekani ambao bado hawana habari kuhusu hizi flights..
 
Aisee, haya tulisha yasema humu watu wakutoka ile nchi ya kaskazini mwa Tanzania wabweka usiku kucha. Haya sasa vanga hili hapa liko uwanjani.

I'm guessing honeymoon is over before even it started.
 
The question is did they real plan for this route au wamekulupuka[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 920024View attachment 920025View attachment 920026View attachment 920027
Maybe nikuelimishe katika sekta ya uchukuzi(transport)., let me come to your level., take for example mabasi ya masafa marefu(long distance) and they leave at specific timing, basi litaondoka ata kama liko bure, inafanyika hapa Kenya sijui tz ni vipi(not all bus companies though)., mfano unaweza kua Busia (Kenya/Uganda border), then u book Easy coach, Coast Bus or Modern Coast to Nairobi, wakati unaingia unapata mko abiria watano ndani ya basi la kubeba watu 60., ikifika wakati wa kutoka linaondoka, na kama sheria yao hawabebi abiria barabarani, you have to book and board at their offices. At the end of the year when they quantify their income utapata bado wana make faida. Same na airlines, if it is leaving at 0800hrs litaondoka na wale abiria watakua wame book na wenye wamefika., hii ni kawaida ya organized transport industry.
Hapa am seeing majungu na wivu, hakuna point hataaa.
 
Back
Top Bottom