kennedy0000
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 4,349
- 3,745
Sisi tunalinganisha serikali ya Kenya na Tanzania, acha kulea uvundo, serikali yenu imejaa wakikuyu acha kukimbia ukweli, acheni ukabila anzeni kuandamana serikali yenu inawaibia mchana kweupe.
Alokufa liabilities zake zina exceed current assets kwa Tshillings ngapi?
Name a single Tanzanian company, private or government owned, that makes a profit. ππππ
TBL, TCC, SBL, Tanga Cement, Twiga Cement, should I go on?
Ahaaa haaa haaa
So this is only way you can answer.
Teh teh teh tihiii.
TBL, TCC, SBL, Tanga Cement, Twiga Cement, should I go on?
I thought una exactly figuresAccording to the CAG recent report; the equity is negative. Don't remember the figures, but they are in billions.
Kenya hakuna vivutio vingi ila wanawashinda kwa mapato ya utalii. Mfano mwaka jana walipata 7.9b USD nanyi 2.7b USDVivutio vya utalii vilivyopo kenya utalinganisha na tanzania tanzania vipo vingi ila kenya ni vichache. Suala la KQ kama huwa mnafanya safar na abiria 10 kwenye ndege hapo sawa kwamba route nyingi mapato hakuna
Hapana, Mimi ni Pro-pesa.
Wewe darasa la 7, subiri kipindi cha uchaguzi upate T-shirt na kofia.
Basi subiri makapi yatakayotemwa upande ule ili ufagie barabara wapite na magari yao.Upande wetu huwa hawatoi hizo cjui huko kwenu mnakoipinga ripoti ya sieigi ndo hutoa hivo vifaa pendwa
I thought una exactly figures
Comparing contribution to GDP kwa tourism receipts nan hajui mlikuwa below 1bil USD in 2017 ..mmepaa hadi 7.9bil USD kadanganye vilema wenzio wa akiliKenya hakuna vivutio vingi ila wanawashinda kwa mapato ya utalii. Mfano mwaka jana walipata 7.9b USD nanyi 2.7b USD
Comparing contribution to GDP kwa tourism receipts nan hajui mlikuwa below 1bil USD in 2017 ..mmepaa hadi 7.9bil USD kadanganye vilema wenzio wa akili
Wewe ambaye si kilema wa akili niambie makusanyo ya 2018 ya Kenya na TanzaniaComparing contribution to GDP kwa tourism receipts nan hajui mlikuwa below 1bil USD in 2017 ..mmepaa hadi 7.9bil USD kadanganye vilema wenzio wa akili
I dont want to realise anything, i just wanted the figures.Do you need figures to actually realise any positive financial amount is better than the negative ones?
CHADEMA njooni huku