Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dharau za kijinga hizo, acheniLiko wazi, Magari yote yameelekea Moshi sasa unadhani Sherehe iko wapi??
aache arsenal ifungwe aje huku,,,aache kwenda kuponya hospitalini aaje hukuHuyo malaika atakua hana kazi nyingine za kufanya aje kutoa ujumbe wa kindezi hivyo?
Hakuna nisicho elewa ktk hilo,labda mengineyoAndiko huwa halipigwi ngumi! Yamkini utakuja kuelewa bdae
Yes..mimi mmoja wao[emoji868] iligonga Mvua ndiyo..na sasa leo kuko shwari nagonga kahawa Buhongwa hapaJana tarehe 24 Dec 2020 kunamtu nilikua naongea nae yupo Mwanza mjini,akanambia nisubiri kwanza mvua ikate ndo atakwenda nilipo muagiza.
Watu wa Mwanza town kama wapo humu watakuwa mashahidi.
I second you😂😂😂Kwani we unaishi nchi nzima ?
Dodoma Mjini imepiga sana mpaka mitaa ya One way na brbr ya 10 mafurikoWapi hapo! Ebu taja Jina ulipo kama hujaumbuka
Kwa visingizio sie hatujambo tulishasahau kabisa ahsante kwa kufukua kaburi hili BILGERTKumbe hata mwaka jana mvua zimeanza kunyesha kwa wingi mwishoni mwa December..halafu mwaka huu tunasingizia ukame..
Huwa tunajisahau mapema sana mkuu.Kwa visingizio sie hatujambo tulishasahau kabisa ahsante kwa kufukua kaburi hili BILGERT
Sent from my M2006C3LI using JamiiForums mobile app
HahahHuwa tunajisahau mapema sana mkuu.