Kuachia wahalifu kwa muda mfupi ni hatari inayokuja nchini

Kuachia wahalifu kwa muda mfupi ni hatari inayokuja nchini

mwendazake ametufunua macho sheria zetu ni za kikoloni sana ni za kuangaliwa upya,,huezi kumzuia mtu miaka isiyojulikana bila ushaidi wa tuhuma
 
mwendazake ametufunua macho sheria zetu ni za kikoloni sana ni za kuangaliwa upya,,huezi kumzuia mtu miaka isiyojulikana bila ushaidi wa tuhuma
Bado macho hayajafunuliwa. JPM alituonesha maana ya serikali na rais. Siyo hawa wanaopokea wageni ikulu. Eti sasa mawaziri ni wapokeaji tu wa wageni kuwapeleka Ikulu.
Btw., Unafahamu Julian Assange amekaa mahabusu miaka mingapi? Unajua yuko wapi sasa hivi? Hiyo ndo serikali.
 
Inagawa wanaachiwa lakini bado wanakua chini ya uangalizi, wakikinukisha tu wanarudi tena ndani...
 
Tulieni, watu wanarejeshewe tabasamu.
Tumeshafahamishwa boss! Karibuni achia achia itakoma maana ni kufunika maneno baada ya uamsho kuachiwa. Ni kuonesha ni zoezi zuri, limewagusa wengi, kumbe liliwalenga uamsho tu!
 
Back
Top Bottom